HEKIMA YA KULETWA MITUME.

MwenyeziMungu anasema:- "Bila shaka tumempeleka Mtume katika kila umma (awaambie) ya kwamba "Mwabuduni MwenyeziMungu na muepukeni (Iblis) muovu". (An - Nahl -36)

MAISHA YA BARZAKH (BAADA YA KUFA)

MwenyeziMungu anasema: "Hapana! Hakika hili ni neno tu analolisema yeye (aliye mwovu anapofikiwa na mauti) na mbele yao kuna maisha ya baada ya kufa (ya taabu kwa wabaya na ya raha kwa wazuri) mpaka siku watakapofufuliwa!". (Al - Muminun - 100)

VITISHO VYA SIKU YA KIAMA

Na katika kauli Yake:- "(Wakumbusheni) Litakapotokea tokeo (hilo la Kiama). Ambalo kutokea kwake si uwongo. Lifedheheshalo (wabaya). Litukuzalo (wazuri). Ardhi itakapotetemeshwa mtetemeko mkubwa. Na milima itakaposagwa sagwa. Iwe mavumbi yanayopeperushwa". (Al - Waqiah - 1 - 6)

KUMTII MWENYEZIMUNGU NA KUMTII MTUME WAKE(SAW)

MwenyeziMungu anasema:- "Na wenye kumtii MwenyeziMungu na Mtume, basi hao watakuwa pamoja na wale aliowaneemesha MwenyeziMungu; Manabii na Masidiki na Mashahidi na Masalih (watu wema). Na uzuri ulioje (kwa mtu) watu hao kuwa rafiki (zake).” (An - Nisaa -69)

KUTOKA KATIKA DINI -"KUR-TADI"

MwenyeziMungu anasema:- "Wala hawataacha kupigana nanyi, mpaka wakutoeni katika dini yenu, kama wakiweza. Na watakaotoka dini yao katika nyinyi, kisha wakafa hali ya kuwa makafiri, basi hao ndio ambao amali zao zimeharibika katika dunia na akhera. Nao ndio watu wa Motoni. Humo watakaa milele." (Al - Baqarah -217).

UCHAWI:1



NINI MAANA YA UCHAWI?

Al Azhari ambaye ni
mtungaji wa kamusi
maarafu ya kiarabu iitwayo
“LisanulArab” amesema:
“Neno “Uchawi”, kwa
kiarabu “As Sihr”, maana
yake ni kitendo cha
kujikurubisha na shetani na
kwa msaada wake
(shetani)”, na akasema pia
kuwa; “Uchawi ni
kulibadilisha jambo mbali na
uhakika wake, nako ni
kuwadhihirishia watu jambo
lisilo la kweli wakaliona
kuwa ni la kweli.”
Ama Sahaba Ibni Abbas
(Radhiya Llaahu ‘anhu)
amesema:
"Uchawi ni kuidhirisha batili
katika sura ya haki."
Hayo ni katika kamusi za
lugha.
Amma katika kamusi ya dini,
maana ya neno Uchawi (As
Sihr), kama alivyofasiri
Mwanachuoni mkubwa
Fakhruddin Al Razi kuwa;
"Ni kila jambo lililofichika
sababu zake, linalotokeza
kwa sababu zisizo za
kawaida na ndani yake mna
hadaa (khidaa)."
Amma Sheikh Wahiyd
Abdulsalaam Bali, mwandishi
wa kitabu maarufu
kiitwacho 'Al Saarim Al
Batar fiy muhaarabat Al
Saharatul ashraar', na
kitabu kiitwacho "Al wiqaya
mina l jinni wa shaytan",
ambaye pia ni mtaalamu
maarufu katika elimu ya
majini na mashetani na
uchawi na ambaye pia ni
katika maulamaa maarufu
wanaotoa majini kwa njia ya
kusoma Qur-aan, yeye
anasema:
"Uchawi ni makubaliano
baina ya mchawi na Jinni
akishurutishwa mchawi
kufanya mambo ya haramu
au ya shirki, na baada ya
kufanya hayo, Jinni
anashurutishwa kumsaidia
na kumtii mchawi huyo kwa
kila anachotaka."
Baadhi ya yale ambayo
mchawi anatakiwa na
shetani ayatende ili
ajikurubishe naye ni:
 Mchawi anatakiwa auvae
msahafu miguuni na
aingie nao chooni
 Aandike baadhi ya aya
za Qur-aan kwa damu
ya hedhi.
 Miongoni mwao
wanashurutishwa
kuandika aya za Qur-aan
penye nyayo za miguu.
 Au aiandike suratulFatiha
kinyume nyume.
 Asali bila ya Udhuu.
 Wengine hutakiwa
kuchinja mnyama bila ya
kulitaja jina la
MwenyeziMungu kisha
amtupe mnyama huyo
mahali maalum
anapoamrishwa na
shetani.
 Wamo miongoni mwao
wanaozungumza na
nyota au kuzisujudia.
 Au hutakiwa kuandika
herizi kwa maneno yenye
kufru ndani yake
Imeelezwa kwamba katika
nchi ya Sham kulikuwa na
mtu ambaye watu walikuwa
wakimpenda na kumheshimu
sana wakimdhania kuwa ni
mtu mwenye makarama.
Mtu huyu alikuwa kila
mwaka katika msimu wa
Hajji akiwatumikia watu wa
mji wake kwa kuchukua
barua zao na vitu vyao na
kuwapelekea watu wao
waliokwenda Saudia kuhijji.
www.pilingu.blogspot.com
Alikuwa akipeleka na kurudi
kwa muda wa siku moja au
mbili tu, na watu
walimpenda sana na kuamini
kwamba alikuwa ni Waliy.
Siku moja mtu huyo aliumwa
sana, akamuita mwanawe
na kumwambia kuwa kama
atakufa, basi ende mahali
fulani wakati wa usiku na
atamkuta ngamia wa aina
fulani na ampande na
kufuata amri zote
atakazopewa na ngamia
huyo.
Alipofariki dunia, mwanawe
alifanya kama alivyoambiwa
na baba yake, akaondoka
peke yake wakati wa usiku
na kuelekea jangwani kule
alikoambiwa na baba yake
kuwa atamkuta ngamia.
Akamkuta ngamia kama
alivyoambiwa, akampanda
na alipokuwa akenda,
ngamia akaanza kusema na
kumtaka kijana yule ashuke
na amsujudie.
Yule kijana alistuka sana
kusikia ngamia akisema na
pia akashangazwa na amri
zake, akamwambia:
"Vipi nikusujudie, kweni
wewe ni nani?"
"Ikiwa unataka nifuate amri
zako kama nilivyokuwa kwa
baba yako, na nikupeleke
popote utakapo duniani, basi
unisujudie kama alivyokuwa
akinisujudia baba yako."
Yule kijana akajibu:
"Mimi ninamsujudia
Mwenyezi Mungu peke yake,
amma wewe la, siwezi
kukusujudia."
Ngamia akamrusha kijana
yule kutoka juu ya mgongo
wake na kumwangusha
chini, na kijana yule akatoka
mbio mpaka nyumbani kwa
mama yake na kumuelezea
yote aliyoyaona na kwamba
baba yake alikuwa
akimsujudia Jinni ndiyo
maana alikuwa na uwezo
wa kusafiri kila anapotaka
kwenda kwa kupaishwa na
jini yule.
Kwa haya inatubainikia
kuwa Jinni hamsaidii wala
hamhudumii mchawi wala
mtu yeyote isipokuwa naye
kwa mkabala wake
atumikiwe kwa kutendewa
matendo ya kufru, na
maulamaa wanasema:
"Kila mchawi anapokufuru
zaidi, basi shetani
humtumikia kwa nguvu
zaidi, na mchawi akitaka
apate huduma ya hali ya juu
kabisa kutoka kwa
masultani wa majini au kwa
kiarabu wanaitwa
"Maradatul Jinni", basi
inambidi afanye kufuru
kubwa zaidi, na kwa ajili
hiyo, mchawi anapotaka
nguvu juu ya wenzake
inamlazimikia akufuru zaidi."
Kutokana na haya
tunafahamu kwamba
mchawi na shetani ni
marafiki na washirika katika
kumuasi MwenyeziMungu.
MwenyeziMungu Anasema:
"Na (wakumbushe) siku
atakapowakusanya wote
(akawaambia): "Enyi
makundi ya majini! Hakika
nyinyi mmechukua wafuasi
wengi katika wanaadamu".
Na marafiki wao katika
wanaadamu
(watagombania) waseme:
"Mola wetu! Tulinufaishana
sisi na wao na tumefikia
muda wetu uliotuwekea".
Basi (Mungu) atasema;
"Moto ndio makazi yenu,
mtakaa humo milele", ila
apende MwenyeziMungu
(kuwarehemu), hakika Mola
wako ndiye Mwenye hikima
(na) ndiye ajuaye.”
Al An - Am - 128
Je, Utamjuaje mchawi???
Usipitwe na sehemu ya 2.

UGONJWA WA PID.

UGONJWA WA PID (Pelvic Inflammatory Disease) au Maambukizi Katika Mfumo wa Uzazi wa Mwanamke. Mara nyingi dactari wengi uchanganya wakafikiri ni UTI

Magonjwa ya zinaa ndio sababu kuu ya wanawake kupata maambukizi katika mfumo wa uzazi yani (PID). Mwanamke 1 kati ya wanawake 8 walipota PID katika wakati wowote ndani ya maisha yao hupata tabu kushika mimba.

(PID) NI NINI?
PID ni maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke na mara nyingi husababishwa na magonjwa ya zinaa kama gonorrhea na chlamydia ila kuna aina ya maambukizi mengine mbali na magonjwa ya zinaa yanaweza kusababisha maambukizi ya PID.

JE! MWANAMKE HUAMBUKIZWAJE PID?
Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na:

- Kama una ugonjwa wa zinaa na haijatibiwa
- Kufanya ngono zembe isiyo salama (yani kulala na wanaume tafauti tafauti)
- Kuwa na mpenzi ambaye ana wanawake wengi nnje
- Kama umekuwepo na historia ya PID hapo nyuma
- Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period)
- Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage)
- Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) kama njia mojawapo ya uzazi wa mpango
- Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID
- Kutumia (Vaginal Dauche)

UTAJUAJE UTAJUAJE KAMA UNA(PID)?
Zipo dalili kadhaa za ugonjwa huu wa PID. Miongoni mwa dalili hizi ni:

- Mwanamke kuhisi maumivu ya tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovu
- Kupata maumivu ya mgongo
- Mwanamke kupata utoko mchafu sehemu za siri. Utoko huu huambatana na harufu mbaya.
- Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa
- Kupata maumivu au kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa
- Kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi
- Kupata homa
- Kupata damu innje ya siku zako zako za-kawaida kupata damu ya hedhi
- Wakati fulani kuhisi kichefuchefu kama mwanamke mja mzito na kutapika

VIPIMO VYA PID
Hakuna vipimo maalum kudhibitisha mwanamke ameathirika ila Dactari hujua mwanamke ameathirika baada ya kuchukua historia ya muhusika na kufanya vipimo vingine kama:

- Kuchunguza mkojo ili kufahamu kama mgonjwa ana mimba. Kipimo hiki ni muhimu hasa kwa mwanamke aliye katika umri wa kuzaa au mwenye uwezo wa kubeba mimba
- Uchunguzi wa mkojo kwenye darubini ili kutambua aina za vimelea vinavyomletea mgonjwa uambukizi. Aidha mkojo huweza kuoteshwa katika maabara kwa ajili ya kutambua aina nyingine za vimelea viletavyo uambukizi huo.
- Kupima damu kwa ajili ya kuchunguza jinsi aina mbalimbali za chembe za damu zilivyoathiriwa na uambukizi huo au kama kuna mwingiliano na magonjwa mengine yaliyojificha. Kipimo hiki kwa kitaalamu huitwa (Full Blood Picture).
- Kuchukua utando unaozunguka shingo ya uzazi na kuuotesha kwa ajili ya utambuzi wa aina za vimelea viletavyo maambukizi hayo. Kipimo hiki huitwa (Cervical culture)
- Aidha ni muhimu pia kufanya vipimo vingine kwa ajili ya utambuzi wa magonjwa yaambukizwayo kwa njia ya kujamiiana, kama vile virusi vya ukimwi na kisonono.
- Mgonjwa pia anaweza kufanyiwa ultrasound ya nyonga ili kuangalia kama kuna athari yeyote katika mfumo wake wa uzazi.

JE PID INAWEZA KUTIBIWA?
Jibu ni ndio kama itagunduliwa mapema inaweza kutibiwa na ikaisha, ila ieleweke kama tayari ilikuwa imeharibu njia za uzazi uharibifu ule haiwezi kurekebishwa. Kila mara ukichelewesha kutibu PID ndivyo itaharibu mfumo wako wote wa uzazi sasa ni muhimu ukiona mojawapo wa dalili nilizozitaja utembelee daktari ili upate tiba. Hata kama utatibiwa na zile dalili zikapotea hakikisha kila mara unashauriana na daktari wako na ukipata mume mwingine ni muhimu umueleze ili mpate matibabu msi-ambukizane mara kwa mara. Ijulikane kama ulikuwa na PID awali inaweza kurudi mara kwa mara.

MATIBABU
Mara mgonjwa anapogunduliwa kuwa ameathiriwa na ugonjwa huu, dawa za jamii ya antibayotiki huweza kutumika kwa ajili ya kuua vimelea vya ugonjwa.

Au
Kwa Dawa za Asili
Chukuwa Hulba na Manjano changanya pamoja. Kisha chota kikombe 1 Kunywa m
Ieleweke pia mara nyingi ugonjwa hujirudia mara kwa mara kama mwanamke atapewa tiba na mume asitibiwe. Na kama maambukizi imekuwa sugu inabidi muathiriwa amueleze daktari ili apate kutumia anti-biotics kwa mda mrefu kuliko kawaida. Lakini muhimu sana mwanaume apewe dawa wakati mwanamke anatibiwa. Ikiwa mwanamke peke yake atapata tiba pindi atakapo lala na mwanaume yule yule maambukizi yatarejelea.

MADHARA YAKUTO-FWATA MATIBABU
- Maumivu ya mfuko wa uzazi wakudumu
- Utapata ugumu wa kushika mimba
- Ectopic pregnancy (mtoto kuwa innje ya mfuko wa uzazi)
- Kuziba kwa njia ya uzazi

JINSI YA KUZUIA MAAMBUKIZI
Kuna njia kadhaa za kuzuia maambukizi katika mfumo wa uzazi. Njia hizi ni pamoja na:

- Njia hakiki ya kujizuia na maambukizi haya ni kuwacha ngono zembe na kufanya ngono salama ndani ya ndoa halali kwani zina ni haramu, kama utakuwa mwenye kutaka dhambi basi tumia kondomu ili usiwaambukize watu wengine
- Kuwahi kuwaona wataalamu wa afya mara dalili za ugonjwa huu zinapoanza kujitokeza au pindi tu unapogundua kuwa mwenzi wako ana dalili za magonjwa ya zinaa au anatembea na wanawake wengine
- Kufanya vipimo mara kwa mara hasa vya mfumo wa uzazi, pamoja na vipimo vya maambukizi ya magonjwa yanayosambazwa kwa njia ya ngono (STI) khususan ugonjwa wa chlamydia ufanyie vipimo kila mwaka mara 1
- Kutofanya ngono mara baada ya kujifungua, mimba kutoka ili kuhakikisha njia ya shingo ya uzazi imefunga vema.

Sheikh Pilingu Hijama & Ruqya Center
0713494945


FAHAMU UGONJWA WA KANSA DALILI NA TIBA YAKE.


KANSA au kwa jina jingine, Saratani, ni kundi la magonjwa yanayosababishwa na mgawanyiko usio sawa na usiodhibitika wa seli na kuunda uvimbe unaovamia na kuzidhuru tishu za mwilini. Kansa isiyotibiwa, inaweza kuwa ugonjwa unaoshambulia tishu nyingine mwilini na kusababisha kifo.

Kwa kawaida, kansa huusababishia mwili madhara pale inapoharibu seli na kuzifanya zigawanyike bila kudhibitika na kuwa uvimbe wa tishu unaojulikana kama tumor, isipokuwa katika kansa ya damu ambapo kansa huzuia utendaji wa kawaida wa damu kwa kuzifanya seli ziwe na mgawanyiko usio wa kawaida katika damu.

Historia ya Kansa

Asili ya neno kansa linatokana na daktari bingwa wa Ugiriki aliyeishi kati ya miaka 460 na 370 (K.K) anayejulikana kwa jina la Hippocrates. Hippocrates alitumia maneno 'Carcinos' na 'Carcinoma' kuelezea uvimbe unaotengeneza mchubuko (Carcinos) kwa upande mmoja, na uvimbe usiotengeneza mchubuko (Carcinoma) kwa upande wa pili.

Maneno haya ya Kigiriki, yana maana ya mdudu kaa. Hii ni kwa sababu ugonjwa ho wa kansa ulipogunduliwa kwa mara ya kwanza ulifananishwa na mdudu kaa kwa kuwa ulikuwa ikisambaa kila upande kama miguu ya mdudu kaa.

Kati ya miaka 25 na 50 (K.K), Daktari Bingwa mwenye asili ya Roma, aliyejulikana kwa jina la Celsus alitafsiri maneno hayo kwa neno la Kilatini, kwa kuita 'Cancer' likiwa na maana ya mdudu kaa. Miaka kati ya 130 na 200 (B.K), Daktari Bingwa mwingine kutoka Ugiriki, alitumia neno 'Oncos' likiwa na maana ya ‘kuvimba’ kuelezea uvimbe tofauti usiosambaa.

Hata hivyo, maneno ya Hippocrates na Celsus, ya 'Carcinos' na 'Cancer' yenye maana ya mdudu kaa ambayo bado yanatumika hadi leo kuelezea uvimbe unaosambaa, neno la Galen 'Oncos' linatumika tu kama sehemu ya somo linalohusu kansa (Oncology) au madaktari wa kansa (Oncologist
[8/29, 21:16] ‪+254 722 920271‬: Ni nini chanzo cha ugonjwa wa kansa?

Mwili wa binadamu umeundwa kwa trilioni za seli ambazo hukua, kugawanyika na kufa kwa mpangilio maalumu. Mwenendo ulioratibiwa vyema unasimamiwa na vinasaba (DNA) vilivyo ndani ya seli. Vinasaba hivyo, vinapatikana katika kila seli, na huongoza matendo yote yanayofanywa na seli. Katika seli ya kawaida, wakati vinasaba vinapoharibika, seli hukarabati au seli hufa.

Lakini katika seli za kansa, kinasaba kilichoharibika huwa hakiwezi kukarabatiwa na seli haifi kama inavyotakiwa, badala yake huendelea kutengeneza seli nyingine ambazo hazitakiwi na mwili na hivyo seli hizo mpya zote huwa na kinasaba kisichokuwa cha kawaida tofauti na seli salama.

Watu huweza kurithi kinasaba kisichokuwa cha kawaida, ingawa mara nyingi uharibifu wa kinasaba husababishwa na makosa yanayotokea wakati seli ya kawaida inapotengenezwa au kutokana na sababu za kimazingira. Ingawa inajulikana wazi kwamba kuna baadhi ya vitu vinavyoweza kuharibu kinasaba na kusababisha kansa, kama vile kemikali, uvutaji sigara, kuchomwa na jua na kadhalika, lakini bado hakuna uhakika wa moja kwa moja kuhusiana na kinachosababisha kansa.

Wakati mtu anapokuwa mtoto mdogo au bado akiwa ndani ya tumbo la mama, seli hujigawanya kwa haraka ili kumfanya akuwe.
Baada ya mtu kukua, seli nyingi hugawanyika kwa ajili ya kuchukua nafasi ya zile zilizozeeka na kufa au kwa ajili ya kukarabati majeraha.

Kansa huanza wakati seli katika sehemu mojawapo ya mwili zinapoanza kukua bila kudhibitiwa. Ukuaji wa seli za kansa hutofautiana na ukuaji wa kawaida wa seli za mwili, na badala ya kufa pale zinapozeeka, zenyewe huendelea kukua na kuzaa seli nyingine mpya zisizokuwa za kawaida.

Seli za kansa pia hushambulia kwa kuingia ndani ya tishu nyigine jambo ambalo halishuhudiwi katika seli za kawaida. Kwa kawaida seli za kansa husambaa katika sehemu nyingine za mwili ambako huko nako, huanza kukua na kuunda uvimbe (tumor) mpya na baada ya muda kupita uvimbe huo huchukua nafasi ya tishu mpya.

Kwa hiyo, kukua kusikodhibitiwa na kusiko kwa kawaida kwa seli, na tabia ya seli hizo kuzishambulia tishu nyingine, ndiko hasa husababisha seli za kansa.

Sifa za ugonjwa wa kansa

Si kila uvimbe ni kansa, bali kuna uvimbe ambao si kansa, ambao kitaalam huitwa 'Benign Tumors', kama vile Tezi dume (Benign Prostate Hyperplasia). Uvimbe huweza kugawanyika na kukua, na pia hutengeneza mirija mipya ya damu ili kujipatia lishe wenyewe. Kitendo hiki kitaalam huitwa 'Angiogenesis.'

Hata hivyo, uvimbe huu usiokuwa kansa, unaweza kuleta matatizo kama vile kukua sana na kuvibana viungo na tishu nyingine mwilini. Aidha, uvimbe kama huu, huweza kukua na kuingilia mifumo ya umeng'enyaji, fahamu na damu/limfu na huweza kutoa homoni zinazobadili utendaji wa kawaida wa mwili.

Ingawa uvimbe usiokuwa kansa unaweza kuwa hatari kwa afya, lakini hauwezi kuzishambulia seli nyingine au kusambaa katika viungo vingine mwilini. Uvimbe wa aina hii, mara nyingi hutibika na huwa hauhatarishi maisha.

Hata hivyo, aina zote za kansa zina sifa tatu zinazofanana. Sifa hizo ni ukuaji wa seli usiodhibitika, uwezo wa kuvamia na kushambulia tishu nyingine na uwezo wa kusambaa katika viungo vingine mwilini kupitia mishipa ya damu au mikondo ya limfu. Kitendo hicho cha vidudu vua ugonjwa wa kansa kusambaa mwilini kupitia mkondo wa damu na limfu, kitaalam huitwa 'Metastasis

Aina za kansa

Hadi sasa kuna aina zaidi ya 200 za kansa kulingana na kiungo gani cha mwili kimeathirika au eneo la mwili linaloshambuliwa.
Baadhi ya kansa huwashambulia zaidi wanawake, kwa mfano kansa ya matiti na kuna baadhi ambazo huwashambilia zaidi wanaume.

Baadhi ya kansa huwashambulia watu wa kundi fulani katika jamii kutokana na aina yao ya maisha au kazi wanazofanya kila siku, na hali kadhalika kuna baadhi ya kansa au saratani zinazoshambilia watoto zaidi kuliko watu wazima, kwa mfano kansa ya damu aina ya 'Lymphoblastic'.

Zifuatazo ni baadhi ya aina za kansa kulingana na tabia hizo hapo juu:-

CARCINOMAS. Hii ni saratani ambayo hushambulia viungo mbalimbali vya mwili vilivyo ndani na nje, kwa mfano mapafu, matiti, utumbo na kadhalika.
SARCOMAS. Hii ni saratani inayopatikana kwenye mifupa, misuli na tishu mbalimbali mwilini.
LYMPHOMAS. Hii ni saratani zinazoanza kwenye mikondo na vifundo vya limfu na kwenye tishu za kinga ya mwili.
LEUKEMIAS. Hii ni saratani zinazoanza ndani ya ute wa mifupa (bone marrow) na kukusanyika kwenye mishipa ya damu.
ADENOMAS. Hii ni saratani zinazochomoza kwenye tishu na tezi zinazotoa homoni mbalimbali hasa tezi zilizopo kichwani.

Ni nini huchangia kuwepo kwa ugonjwa wa kansa?

Asilimia 60 ya magonjwa yote ya kansa yanahusishwa zaidi na mtindo wa maisha ambao vipengele vyake ni ulaji, mazoezi ya mwili na matumizi ya pombe na tumbaku. Vitu vingine vinavyochangia, ni pamoja na virusi na bakteria, madini mazito, mionzi na sumu kadhaa.

Vyakula huchangia kwa kiasi kikubwa saratani za kinywa na koo, matiti, tezi ya kiume, utumbo mpana, mapafu, tumbo, ini, kongosho na kizazi. Ulaji unaoweza kuchangia ugonjwa huu, ni pamoja na ulaji wa nyama nyekundu kupita kiasi, nyama zilizosindikwa, vyakula vilivyokuzwa kwa kemikali nyingi kama mbolea, vyakula vyenye mafuta mengi ambavyo huweza kusababisha uzito mwingi na vyakula vilivyoota ukungu, kwa mfano karanga.

Kitaalam, nyama nyekundu ni muhimu kwa binadamu, lakini inakuwa tatizo pale inapoliwa zaidi ya nusu kilo kwa wiki. Ulaji wa nyama nyekundu mfano ng'ombe, unaongeza uwezekano wa kupata saratani ya utumbo mkubwa.

Tafiti zimeonesha kuwa kula nyama nyekundu hadi nusu kilo kwa wiki haiongezi uwezekano wa kupata saratani, lakini kila gramu 50 zinazoongezeka, huongeza uwezekano wa kupata saratani kwa asilimia 15.

Nyama zilizosindikwa pamoja na zile zilizohifadhiwa kwa kuongezwa chumvi, mafuta, kemikali au kukaushwa kwa moshi kama nyama za kopo, soseji na bekoni zinaongeza sana uwezekano wa kupata saratani. Hakuna kiasi chochote cha nyama iliyosindikwa kinachoweza kutumika bila kuongeza uwezekano wa kupata saratani.

Viazi vya kukaanga mfano viazi mviringo (ulaya), huongeza hatari ya kupata saratani hasa vikikaangwa kwenye mafuta yenye haidrojeni na lehemu. Viazi ni moja ya vyakula vyenye wanga sana na wakati wa kukaangwa hutoa 'Acrylamide' ambayo ni kisababishi cha  kansa hasa kwenye mfumo wa fahamu.

Vinywaji baridi/Laini  kama vile soda na juisi za viwandani navyo vinaweza kusababisha kansa. Utafiti uliofanywa mwaka 2010 na Jarida la 'Cancer, Epidemiology, Biomakers & Prevention' unaonyesha kuwa mtu aliyetumia soda mbili au zaidi ndani ya wiki moja, ana uwezekano wa kupata saratani ya kongosho kwa asilimia 87 kuliko mtu ambaye hatumii kabisa vinywaji hivyo laini.

Tafiti nyingine zimeonyesha uhusiano kati ya matumizi ya sukari na saratani za tumbo na utumbo mpana, ingawa sukari haifanyi seli nzuri zisizo na kasoro kuwa kansa ila sukari ni chakula ama chanzo cha lishe cha seli za kansa. Pombe na tumbaku. Matumizi ya pombe na tumbaku huchangia sana ongezeko la sarayani za koo na mapafu. Hapa nchini Tanzania, ongezeko ni kubwa kwa sababu ya matumizi ya vitu hivyo.

Kwa mfano, asilimia 90 ya wagonjwa waliopelekwa Hospitali ya Ocean Road, Dar es Salaam, walikuwa na historia ya kutumia vilevi vikali, tumbaku, pilipili kwa wingi na aina nyingine ya vitu vinavyosababisha saratani. Pombe inaongeza sana uwezekano wa kupata saratani hasa zile za koo, kinywa, ini na matiti.

Uzito Uliozidi kiasi unamweka pia mtu kwenye hatari ya kupata magonjwa mengi sugu, kama vile kisukari, msukumo mkubwa wa damu, magonjwa ya moyo, figo, na saratani za matiti, kongosho na kizazi. Utaratibu mzuri wa kula, husaidia kupunguza uzito au kuzuia ongezeko kubwa la mwili.

Virusi na Bakteria husababisha kansa ya ini, mdomo wa mji wa mimba, mdomo, ngozi, tumbo, mfupa wa taya na kibofu cha mkojo. Tabia kama kufanya mapenzi kwa mdomo, kama vile kunyonya uke au uume, huchangia kuenea kwa saratani za iana hiyo.
Ni nini kifanyike kupunguza uwezekano wa kupata ugonjwa huo?

Wataalamu wanashauri kwamba hatari ya kupatwa na kansa inaweza kupungua kwa kubadilisha muundo wa maisha ya mtu binafsi, kwa mfano kujiepusha na uvutaji wa sigara, kujiepusha kukaa juani kwa muda mrefu, kula lishe bora na kufanya mazoezi mara kwa mara.

Aidha, vyakula vitokanavyo na mimea ni kinga nzuri ya kuzuia saratani. Kutumia zaidi vyakula vitokanavyo na mimea husaidia kuondoa uwezekano wa kupata saratani za aina mbalimbali. Inashauriwa kula angalau vipimo vitano vya mboga mbalimbali kwa siku.

Hakikisha katika kila mlo unaotumia kunakuwa na nafaka zisizokobolewa kama vile unga wa ngano usiokobolewa sana, unga wa dona, mchele wa brauni, ulezi na kadhalika na aina mbalimbali za mikunde kama vile maharage, kunde, choroko na mbaazi.
Mazoezi ya mwili yanapaswa kuwa sehemu ya maisha ya kila siku. Inashauriwa kufanya mazoezi ya mwili ya wastani kama vile kutembea haraka haraka angalau dakika 30 kila siku, na mwili ukishazoea, unashauriwa kuongeza hadi kufikia dakika 60 kila siku.
Kama unafanya mazoezi ya nguvu sana, basi iwe angalau dakika 30 kila siku. Punguza sana mtindo wa maisha ambao unakufanya uketi bila mazoezi kama vile kuangalia televisheni kwa muda mrefu.

Tumia nafasi zote zilizopo za kuzoeza mwili kama vile kupanda ngazi badala ya kutumia lifti, kusaidia kazi za nyumbani, kutembea kwenda sokoni au dukani kama si mwendo mrefu na kadhalika.

Nini dalili za ugonjwa wa kansa?

Kwa kawaida saratani huanza taratibu, na huchukua muda mrefu kuonyesha dalili zake zote. Aidha, dalili za awali haziambatani na maumivu yoyote, hivyo kusababisha wagonjwa wengi kuchelewa kutafuta matibabu.

Magonjwa mengi ya saratani hutibika yakigundulika mapema. Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO), linaema asilimia 30 ya saratani zinaweza kuzuilika. Hivyo ni muhimu kwa kila mtu kumuona mapema mhudumu wa afya kila anapoona dalili zisizo za kawaida katika mwili wake, kama vile dalili za kutokwa na damu ukeni kwa mwanamke baada ya kufanya tendo la ndoa, baada ya kukoma mzunguko wa hedhi, au nje ya mzunguko wa hedhi.

Kukojoa mara nyingi zaidi ya kawaida au mkojo kutoka kwa shida; uvimbe wa zaidi ya wiki tatu shingoni, kwapani, tumboni, ngozi au matiti; kubadilika kwa kawaida ya kupata choo (kufunga choo); matiti kubadilika umbile, uvimbe, ngozi au kutoa maji maji.
Kukohoa au sauti ya kukwaruza kwa zaidi ya wiki tatu; shida au maumivu wakati wa kumeza chakula au vinywaji; kutokwa na damu kwenye choo, mkojo, makohozi au pua; kutokwa na ute, maji maji au usaha ukeni; uchovu bila kufanya kazi; kupungua uzito ghafla bila sababu na kukosa hamu ya kula chakula.

Jinsi ya kudhibiti kabisa kansa

Ikiwa kansa au saratani ishatokea na kuanza kusambaa mwilini, mambo muhimu yanayopaswa kuzingatiwa ili kudhibiti usambaaji huo ni pamoja na kutibiwa kwa kufanya upasuaji, tiba ikiwemo  (matibabu kwa dawa); kupata matibabu kwa njia ya eksirei (matumizi ya mnururisho wa kuweka ioni ili kuua seli za kansa na kunywea uvimbe); kupata matibabu ya tiba maradhi; kupata matibabu ya monokloni ya kingamwili au njia nyingine

TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO (Ulcers).

1. Chemsha habasoda na bizari ya pilau katika maji kunywa kikombe cha chai kutwa x 1
Kila siku kwa miezi 3.

Au
2. Mafuta ya habasoda na habarehani katika maziwa fresh glasi 1 x 3
Kila siku kwa miezi 3.

Au
3. Asali lita1 na unga wa ganda la ndizi vijiko 3 changanya vizuri kisha kula kijiko 1 x 3
Kila siku kwa miezi 3.

Au
4. Ganda la komamanga vijiko 3 na habasoda unga kijiko vijiko 2 tia katika asali lita1 changanya vizuri kisha chota vijiko 2 tia kwenye kikombe 1 cha maziwa kunywa 1x3
Kila siku kwa miezi 3.

Au
5. Kunywa mafuta ya zaituni kijiko 1 na  mafuta ya habasoda kijiko 1 kwenye kikombe 1 cha maji ya moto 1x3 Kila siku kwa miezi 3.

6. Juisi ya karoti na mbatata
Kila siku kwa miezi 3.

www.pilingutz.ga
Au
7.Chukua maganda ya palachichi uyaanike
mpaka yakauke kisha yasage. Chukua unga huo ujazo wa vijiko3 vya chakula pamoja na vijiko 3 vya Asali kisha
tumia kulamba.vijiko 2x3
Kila siku kwa miezi 3.

Au
ASALI NA MDALASINI TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO

Tumia Asali ya nyuki,Mdalasini
na Maji ya Uvuguvugu kila siku
Asubuhi kabla ya
kula kitu na jioni kwa muda wa miezi minne

Namna ya kutengeneza Dawa
fanya hivi:
chukuwa kijiko kikubwa kimoja
cha Asali changanya na kijiko
kimoja cha unga wa
Mdalasini uweke katika Glasi 1
ya Maji ya Uvuguvugu kisha
unywe Asubuhi
kabla ya kula au kunywa kitu
chochote kile na ukae kwa
muda wa saa moja
kupita ndio waweza kula.
Na wakati wa usiku fanya hivyo hivyo kunywa tena
mchanganyiko huo wa Asali na
Unga wa Mdalasini dumisha
hivyo Kila siku kwa miezi 3.
©Sheikh Pilingu Hijama &  Ruqya Center
+255713494945
www.pilingutz.ga

TIBA YA KIHARUSI (KUPOOZA)


1. Soma Ruqya

2. Unga wa Udi karaha vijiko 2, na Habasoda vijiko 2 katika asali lita 1 changanya kisha kula vijiko 2X3 kila siku.

Au
3. Changanya kijiko kimojakimoja cha Bakalhadi, manimani,habatsoda, sufa, makal-arzak, jauza, kakila, udikaraha, ubani maka,ubani dhukra,ubanimashtaka, halilinji, abilinji, tangawizi, hiliki,darufilfili, halititi,basbas jauza. Vyote view ujazo sawa ila sufa izidi changanya na asali lita 1 na siki kikombe 1. Kula kijiko kikubwa 2X3
Mgonjwa avae nguo za kumwongezea joto muda wote.

Au
4.Chemsha kila siku majani ya pakanga kikombe 1 kwenye maji lita 1.
anywe kidogo kidogo  kwa siku mpaka yaishe.

5.kisha umchue sehemu aliyopooza kwa mafuta ya nazi yaliyotiwa Halmiti na irkizamda na karafuu maiti.
1x2.

TIBA YA MARADHI YA FIGO.

1. Kula vijiko 2 vya asali iliyochanganywa na habasoda.
Utie katika glasi ya maji moto.


Au
.2. Kula zabibu kavu 21 kila asubuhi kwa mwezi.

Au
3. Asali lita 1, habasoda unga kijiko1  na thaum kikombe cha kahawa. 
kula kijiko kikubwa 2X3 na kila baada ya chakula kula limao 1.

Au
4. Habasoda kijiko1, harmal kijiko1, Jirjir kijiko1  changanya na asali lita 1.
kula vijiko 2X3 katika maziwa moto siku 7-21

Au
Chemsha ndevu za mahindi ujazo wa lita3
kilasiku kunywa lita moja kwamda wa siku3.
Kama bado utahisi bado ugonjwa upo
kunywatena kwa muda wa siku3.

Au
KUSAFISHA FIGO

Mwaka mpaka mwaka figo zetu zinachuja damu na kuondoa chumvi, sumu, na vitu visivyotakiwa mwilini. Kadiri siku zinavyokwenda chumvi hujirundika katika figo tukio ambalo ni hatarishi katika mfumo bora wa utendekazi wa figo hivyo kufanya uhitaji figo kusafishwa mara kwa mara.

NAMNA YAKUSAFISHA FIGO

Ni rahisi sana, kwanza chukua kiasi cha majani ya 'kotimiri' (parsley) au majani ya 'dhania' (coriander) kiasi cha vifungo viwili kisha yaoshe vizuri, katakata katika vipisi vikubwa kubwa kisha weka kwenye chombo ambacho utaweza kuchemshia kama vile sufuria.  Weka maji (lita moja) katika sufuria yenye majani hayo kisha chemsha kwa muda was dakika kumi, iache ipoe kisha chuja vizuri na uweke kwenye chupa kisha uiweke katika jokofu ili iweze kupoa zaidi na kupata ubaridi.

Kunywa glasi moja kila siku kama umetumia dhania na utaona  chumvi na vitu vyote vilivyorundikana kwenye figo vinatoka kwenye mkojo wakati unapojisaidia haja ndogo, pia utahisi utofauti katika mwili wako ambao hujawahi kuuhisi. Kama utatumia majani ya parsley (kotimiri)  usikunywe zaidi ya vijiko vinne vya mezani.

- Ukitumia majani ya dhania kunywa glasi moja kila siku
- Ukitumia majani ya parsley(kotimiri)  vijiko vinne vya mezani vya maji ile kila siku na usinywe kama hujakula

Kotimiri pamoja na majani ya dhania yanafahamika kwa uwezo wao bora wakusafisha figo na pia hizi zenyewe ni za asili zote. Zinatoa matokeo sawa pale zinapotumika kusafisha figo, lakini majani ya kotimiri (parsley) yanapendelewa zaidi na ni chaguo zuri kwasababu ya utofauti wake na majani ya dhania (coriander).

Utofauti uliopo Kati ya kotimiri na majani ya dhania ni kwamba; Majani ya kotimiri hayana harufu yoyote ila majani ya dhania yana harufu, pia majani ya kotimiri yanatumika sana kutengenezea saladi. Japo majani haya yanafanana sana ukiangalia kwa ukaribu na kwa makini utagundua kuwa yana utofauti.

ANGALIZO

Juisi hii ya kotimiri ina nguvu sana hivyo usiinywe bila kuwa na kitu tumboni yani ule kwanza kabla yakutumia hii juice, pia usinywe zaid ya mililita 30 yani kipimo kiasi cha vijiko vinne vikubwa vya meza kwa siku. Chukua uangalizi wa karibu wa kujitathimini kama ni mara yako ya kwanza kusafisha figo zako.

Mama mjamzito asitumie juisi hii.

Kotimiri inaaminika kuwa nakiwango kikubwa cha asidi inaitwa 'oxalic acid' hivyo kwa mtu mwenye tatizo la mawe kwa figo asitumie bila ushauri wa docta wa tiba za asili, yani kwa ufasihi mwenye vijiwe katika figo lazima aitumie kwa uangalifu wa daktari kwa ni tiba pia ya kuyayusha hizo vijiwe na kuna vipimo tafauti vitahitajika, pia usitumie na vyakula vingine vyenye madini ya calcium kwani madini ya calcium pamoja na asidi ya oxalic ikichanganyika inageuza ile dawa isiwe organic.

+255713494945 

JE UNAJUWA KIUNGULIA NI NINI?

KIUNGULIA NA TIBA YAKE. 

Kiungulia (heart burn) ni hali ya kuckia kama unaungua ndan ya koo nayo ni baada ya fluid (HCL acid) ilioko tumbon kupanda kwenye mrija wa chakula (oesophagus) hutokana na kula vyakula vya wanga kwa wingi (starch) na gesi ni hewa tu ambayo mara nyng hua inajaa tumboni huweza sababishwa na wadudu wanao act ktk chakula na kutoa gesi kama ni moja ya product zake hata helicobacta pylory anaesababisha vidonda va tumbo husababisha ges na kuhc tumbo limejaaa



HCL ktk tumbo huzalishwa na parietal cells ambazo ni moja kati ya aina kuu mbili za cell zinazo tanda ktk tezi za tumbo

Huzalishwa baada ya kuckia chakula au kufika mda wa mtu hyo wa kula, hua ni moja ya content ya gastric juic (isaidiayo ktk kumeng'enya chakula)

TIBA YAKE. 


1. Kijiko kimoja cha habasoda katika glasi moja ya maziwa kutwa x 3



2. Au chota kijiko 1 cha unga wa Shimari kula 1x4 kila siku au kila baada ya kula. 

Kisha utamalizia kwa kunywa maji ya vuguvugu. 

©

Sheikh Pilingu Hijama & Ruqya Center
+255713494945

YAJUWE MAMBO 10 YANAYOHARIBU FIGO.

Kwa kifupi sana leo tunakutajia baadhi ya Tabia zinazochangia kuharibika kwa Figo. Tutambue kuwa tatizo hili la kufeli kwa figo limeshawakumba wengi na baadhi yao wameshapoteza maisha.
Ukiwa mzima mshukuru Mungu na ni vyema ukasoma makala hii ili kujinusuru na janga hili la kuharibikiwa figo.
Hizi hapa ni baadhi ya tabia 10 zinazoharibu figo:
1. Kubana mkojo kwa muda mrefu
2. Kutokunywa maji ya kutosha
3. Kutumia chumvi nyingi
4. Kula nyama mara nyingi zaidi
5. Kutokula chakula cha kutosha
6. Kuchelewa kujitibu maambukizi madogomadogo
7. Kutumia visivyo dawa za maumivu
8. Utumiaji wa madawa kwa ajili ya Insulin
9. Kunywa pombe kupita kiasi
10. Kutopata muda wa kutosha kupumzika

Ukiwa na tatizo la Figo njoo upate tiba sahihi na ushauri kituoni kwetu Sheikh Pilingu Ruqya &  Hijama Center
Au piga simu 0713494945
Email: pilingurashidi@gmail.com

WENGU KUVIMBA MWILI


1. DUA

Au
2. changanya unga wa Hulba na natrun au Khardali pamoja na siki- paka

Au
3. habasoda na siki ya Zabibu chemsha kisha paka kwenye uvimbe na ule vijiko 2X3

DAWA YA NGOZI. (Mba, upele, Chunusi, Fangasi, Miwasho, Malengelenge, Mapunye, Utangotango n.k.


1. Mafuta ya habasoda changanya na mafuta ya waridi na ngano nyukundu- vyote ujazo sawa ila ngano izidi kisha upake kutwa X2 au soma 1:1 au 57:4

KUUNGUA MOTO
2. Ngozi iliyoteketea kwa moto paka asali iliyo changanywa na ute wa yai.

FANGASI
3. Kibiritu azraqu na aswfaru na maziwa ya cowball na mafuta paka kutwa X2

4.Changanya sufa na asali na unywe kijiko 1X3

5.Soma dawa namba 9

6.Changanya mafuta ya H.soda na mafuta ya wardi na ngano nyekundu. Vyote ujazo sawa ila ngano iweX2 paka kutwa X2

NGOZI ILIYOTEKETEA KWA MOTO

7.Changanya asali na ute wa yai kasha paka.

8.Changanya maziwa ya Cowbell na Kibritu aswataru na mafuta yoyote. Paka X2

FANGASI BAINA YA MAPAJA
9.Paka mafuta ya H.saoda kabla ya kulala. Siku 7

10.Majani ya Mrehani sugua kichwani pia hutunza nywele kung’oka na na kuzifanya ziwe nyeusi

11.Changanya mafuta ya Habasoda na mafuta ya Zaituni paka pale palipo athirika

12.Changanya kwa ujazo sawa mafuta ya Habasoda Mafuta ya Mdarasini, mafuta ya Ndimu na Mafuta ya Kitunguu Thaumu.
Chemsha kisha paka kutwa x2.

UTAMJUAJE MTU ALIYEATHIRIKA NA UCHAWI AU MAJINI?.


1.  Kuumwa kichwa upande mmoja,meno,mgongo,kiuno na kubanwa kifua.
2.  Kuumwa tumbo chini ya kitovu hii ni kwa akinamama.
3.  Moyo kwenda mbio na kushtuka bila asbabu.
4.  Kushika moto mwili hasa miguu pmj na ganzi na maumivu makali.
5.  Kizunguzungu mara kwa mara.
6.  Kuumwa tumbo sana kwa akinamama wakati wa period pmj na kutoa damu nyingi au chache sana.
7.  Kupata maumivu makali wakati wa jimai kwa akinamama na kukosa hamu ya tendo hilo au kulichukia kabithaaaa.
8.  Kutembelewa na vitu mwilini.
9.  Kutingishika,kutetemeka sana na kulia bila sababu ikiwemo na hasira sana.
10.  Kuhisi uzito wa mwili kana kwamba umebeba mzigo mzito.
11.  Chuki ndani ya ndoa kutamani kuachwa au kuacha bila asbabu.
12.  Maneno machafu kwa mwenza na punde tyuu majuto mjukuu.
13.  Kufungika hedhi bila sababu na kutoshika ujauzito bila sababu za msingi.
14.  Kuota umjauzito,unazaa,unanyonyesha na unabeba watoto.
15.  Kujaa kitumbo ndiiii bila ujauzito na kuchezacheza kitu tumboni bila ya ujauzito.
16.  Kuharibika mimba baada ya kuota unafanya vituuuuz na mtu atishae au hata umjuae au usiyomjua.
17.  Kuyeyuka na kuharibika mimba bila sababu za msingi.
18.  Ndoto za jimai mara kwa mara.
19.  Kuwa na hamu sana ya mambo yetu yaleeeeeee uwapo peke yako lkn ukutanapo na mwenza hamu hiyooooo ishasepa na kwa mume hupotelewa na nguvu ghafla.
20.  Kuvurugika mipango ya kuoa au kuolewa mara kwa mara.
21.  Kuhisi unaingiliwa au kuingilia babaweeeee hii sio ndotonivyoooooo uvitambue babaaaaaa.
22.  Kutopenda ibadah lkn maasi unayapa mahabba mazitooo.
23.  Hasira,uvivu pmj na hofu bila sababu.
24.  Kuhisi kusimamiwa na mtu mbele yako,nyuma,pembeni na hata ulalapo na kuwa na hofu sana juu ya hilo.
25.  Kukosa usingizi au usingizi mzito mpk swalat subhi ikakupita.
26.  Usomapo Qur-an au kusikiliza hotuba ya ijumaa hupata usingizi a.k.a kusinziasinzia lkn usomapo magazeti au mazungumzo mengine usingizi hauji ng'oooo.
27.  Tamaa kupita kiasi na kujihisi ni mtu wa thamani sana kinyume na ulivyo.
28.  M/mke kupenda kujiremba awapo nje ya nyumba yake lkn akiwa ndani kwake huwa hajirembi na km ana mume basi hubaki kumuachia harufu mbaya mumewe. loh wanawake nyiyeeee loh hebu jirembeni mkiwa ndani ili sisi waume zenu tujihisi kupendwa nasi tukazidisha upendo.
29.  Kupenda vitu vya upuuzi km vile miziki,porojo,udaku,vipindi vya TV visivyo na maana au redio.
30.  Kuota ndoto za vitisho km vile wanyama wakali,au unafanyiwa uadui au unazingirwa na maji,kifo,jeneza,unatumbukia shimoni na unapaa hewani wala mbawa hauna.
31.  Kuota ibada zisizo na mwelekeo.
32.  Kulia,kucheka na kupiga kelele usingizini a.k.a Jinamizi.
33.  Kuchanganyikiwa ndani ya swala pmj na kuyumba na kusinzia usiisahauvyooo.
34.  Kuota mtu mfu au unaelezwa jambo ndotoni na ikiwa yote ni kweli hali hauna Uchamungu na hivyo.
35.  Kuota watu watishao.
36.  Kuota sana nyumba za ibada (misikiti)hali wewe si mtu wa ibada.
37.  Kuota unafanya mashauri na watuwafu a.k.a Mizimuuu.
38.  Kuota unafanyiwa shughuli zote za mazishi au unamfanyia mwenzio.
39.  Kuota unaingiliwa au unaingilia kinyume na maumbile a.k.a Liwatwi.
40.  Kushtukashtuka mara kwa mara usingizini.
41.  Kuibiwa pesa hata uzifungie waaaaapi vileeeee a.k.a Chumaulete.
Haya ndg zangu hizo ndio dalili 41 nilizosema nitawaekea na zipo nyingi zote hizo zinaashiria mtu kusumbuliwa na shetani wa kijini (wachawi) na mtu sio lzm awe nazo zote

AAYAATUL BASWARI


Ni aya ambazo unaweza kumsomea Mgonjwa yoyote wa Macho yanayo uma, uhafifu wa kuona, kutoa uchafu, kutoa machozi, kuona giza kukereketa, kuchonyota n.k.
Msomee kutwa x2
Bi-idhnillaahi anaweza kupona bila bila kumpa kitu chengine.

(وَلَتَجِدَنَّهُمْ أَحْرَصَ النَّاسِ عَلَىٰ حَيَاةٍ وَمِنَ الَّذِينَ أَشْرَكُوا ۚ يَوَدُّ أَحَدُهُمْ لَوْ يُعَمَّرُ أَلْفَ سَنَةٍ وَمَا هُوَ بِمُزَحْزِحِهِ مِنَ الْعَذَابِ أَنْ يُعَمَّرَ ۗ وَاللَّهُ بَصِيرٌ بِمَا يَعْمَلُونَ)
[Surat Al-Baqarah 96]

(وَأَقِيمُوا الصَّلَاةَ وَآتُوا الزَّكَاةَ ۚ وَمَا تُقَدِّمُوا لِأَنْفُسِكُمْ مِنْ خَيْرٍ تَجِدُوهُ عِنْدَ اللَّهِ ۗ إِنَّ اللَّهَ بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرٌ)
[Surat Al-Baqarah 110]

(وَالْوَالِدَاتُ يُرْضِعْنَ أَوْلَادَهُنَّ حَوْلَيْنِ كَامِلَيْنِ ۖ لِمَنْ أَرَادَ أَنْ يُتِمَّ الرَّضَاعَةَ ۚ وَعَلَى الْمَوْلُودِ لَهُ رِزْقُهُنَّ وَكِسْوَتُهُنَّ بِالْمَعْرُوفِ ۚ لَا تُكَلَّفُ نَفْسٌ إِلَّا وُسْعَهَا ۚ لَا تُضَارَّ وَالِدَةٌ بِوَلَدِهَا وَلَا مَوْلُودٌ لَهُ بِوَلَدِهِ ۚ وَعَلَى الْوَارِثِ مِثْلُ ذَٰلِكَ ۗ فَإِنْ أَرَادَا فِصَالًا عَنْ تَرَاضٍ مِنْهُمَا وَتَشَاوُرٍ فَلَا جُنَاحَ عَلَيْهِمَا ۗ وَإِنْ أَرَدْتُمْ أَنْ تَسْتَرْضِعُوا أَوْلَادَكُمْ فَلَا جُنَاحَ عَلَيْكُمْ إِذَا سَلَّمْتُمْ مَا آتَيْتُمْ بِالْمَعْرُوفِ ۗ وَاتَّقُوا اللَّهَ وَاعْلَمُوا أَنَّ اللَّهَ بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرٌ)
[Surat Al-Baqarah 233]

(وَإِنْ طَلَّقْتُمُوهُنَّ مِنْ قَبْلِ أَنْ تَمَسُّوهُنَّ وَقَدْ فَرَضْتُمْ لَهُنَّ فَرِيضَةً فَنِصْفُ مَا فَرَضْتُمْ إِلَّا أَنْ يَعْفُونَ أَوْ يَعْفُوَ الَّذِي بِيَدِهِ عُقْدَةُ النِّكَاحِ ۚ وَأَنْ تَعْفُوا أَقْرَبُ لِلتَّقْوَىٰ ۚ وَلَا تَنْسَوُا الْفَضْلَ بَيْنَكُمْ ۚ إِنَّ اللَّهَ بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرٌ)
[Surat Al-Baqarah 237]

(وَمَثَلُ الَّذِينَ يُنْفِقُونَ أَمْوَالَهُمُ ابْتِغَاءَ مَرْضَاتِ اللَّهِ وَتَثْبِيتًا مِنْ أَنْفُسِهِمْ كَمَثَلِ جَنَّةٍ بِرَبْوَةٍ أَصَابَهَا وَابِلٌ فَآتَتْ أُكُلَهَا ضِعْفَيْنِ فَإِنْ لَمْ يُصِبْهَا وَابِلٌ فَطَلٌّ ۗ وَاللَّهُ بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرٌ)
[Surat Al-Baqarah 265]

(قُلْ أَؤُنَبِّئُكُمْ بِخَيْرٍ مِنْ ذَٰلِكُمْ ۚ لِلَّذِينَ اتَّقَوْا عِنْدَ رَبِّهِمْ جَنَّاتٌ تَجْرِي مِنْ تَحْتِهَا الْأَنْهَارُ خَالِدِينَ فِيهَا وَأَزْوَاجٌ مُطَهَّرَةٌ وَرِضْوَانٌ مِنَ اللَّهِ ۗ وَاللَّهُ بَصِيرٌ بِالْعِبَادِ)
[Surat Aal-E-Imran 15]

(فَإِنْ حَاجُّوكَ فَقُلْ أَسْلَمْتُ وَجْهِيَ لِلَّهِ وَمَنِ اتَّبَعَنِ ۗ وَقُلْ لِلَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ وَالْأُمِّيِّينَ أَأَسْلَمْتُمْ ۚ فَإِنْ أَسْلَمُوا فَقَدِ اهْتَدَوْا ۖ وَإِنْ تَوَلَّوْا فَإِنَّمَا عَلَيْكَ الْبَلَاغُ ۗ وَاللَّهُ بَصِيرٌ بِالْعِبَادِ)
[Surat Aal-E-Imran 20]

(يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَكُونُوا كَالَّذِينَ كَفَرُوا وَقَالُوا لِإِخْوَانِهِمْ إِذَا ضَرَبُوا فِي الْأَرْضِ أَوْ كَانُوا غُزًّى لَوْ كَانُوا عِنْدَنَا مَا مَاتُوا وَمَا قُتِلُوا لِيَجْعَلَ اللَّهُ ذَٰلِكَ حَسْرَةً فِي قُلُوبِهِمْ ۗ وَاللَّهُ يُحْيِي وَيُمِيتُ ۗ وَاللَّهُ بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرٌ)
[Surat Aal-E-Imran 156]

(هُمْ دَرَجَاتٌ عِنْدَ اللَّهِ ۗ وَاللَّهُ بَصِيرٌ بِمَا يَعْمَلُونَ)
[Surat Aal-E-Imran 163]

(إِنَّ اللَّهَ يَأْمُرُكُمْ أَنْ تُؤَدُّوا الْأَمَانَاتِ إِلَىٰ أَهْلِهَا وَإِذَا حَكَمْتُمْ بَيْنَ النَّاسِ أَنْ تَحْكُمُوا بِالْعَدْلِ ۚ إِنَّ اللَّهَ نِعِمَّا يَعِظُكُمْ بِهِ ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ سَمِيعًا بَصِيرًا)
[Surat An-Nisa' 58]

(مَنْ كَانَ يُرِيدُ ثَوَابَ الدُّنْيَا فَعِنْدَ اللَّهِ ثَوَابُ الدُّنْيَا وَالْآخِرَةِ ۚ وَكَانَ اللَّهُ سَمِيعًا بَصِيرًا)
[Surat An-Nisa' 134]

(وَحَسِبُوا أَلَّا تَكُونَ فِتْنَةٌ فَعَمُوا وَصَمُّوا ثُمَّ تَابَ اللَّهُ عَلَيْهِمْ ثُمَّ عَمُوا وَصَمُّوا كَثِيرٌ مِنْهُمْ ۚ وَاللَّهُ بَصِيرٌ بِمَا يَعْمَلُونَ)
[Surat Al-Ma'idah 71]

(وَقَاتِلُوهُمْ حَتَّىٰ لَا تَكُونَ فِتْنَةٌ وَيَكُونَ الدِّينُ كُلُّهُ لِلَّهِ ۚ فَإِنِ انْتَهَوْا فَإِنَّ اللَّهَ بِمَا يَعْمَلُونَ بَصِيرٌ)
[Surat Al-Anfal 39]
(إِنَّ الَّذِينَ آمَنُوا وَهَاجَرُوا وَجَاهَدُوا بِأَمْوَالِهِمْ وَأَنْفُسِهِمْ فِي سَبِيلِ اللَّهِ وَالَّذِينَ آوَوْا وَنَصَرُوا أُولَٰئِكَ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَاءُ بَعْضٍ ۚ وَالَّذِينَ آمَنُوا وَلَمْ يُهَاجِرُوا مَا لَكُمْ مِنْ وَلَايَتِهِمْ مِنْ شَيْءٍ حَتَّىٰ يُهَاجِرُوا ۚ وَإِنِ اسْتَنْصَرُوكُمْ فِي الدِّينِ فَعَلَيْكُمُ النَّصْرُ إِلَّا عَلَىٰ قَوْمٍ بَيْنَكُمْ وَبَيْنَهُمْ مِيثَاقٌ ۗ وَاللَّهُ بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرٌ)
[Surat Al-Anfal 72]

(فَاسْتَقِمْ كَمَا أُمِرْتَ وَمَنْ تَابَ مَعَكَ وَلَا تَطْغَوْا ۚ إِنَّهُ بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرٌ)
[Surat Hud 112]

(اذْهَبُوا بِقَمِيصِي هَٰذَا فَأَلْقُوهُ عَلَىٰ وَجْهِ أَبِي يَأْتِ بَصِيرًا وَأْتُونِي بِأَهْلِكُمْ أَجْمَعِينَ)
[Surat Yusuf 93]

(فَلَمَّا أَنْ جَاءَ الْبَشِيرُ أَلْقَاهُ عَلَىٰ وَجْهِهِ فَارْتَدَّ بَصِيرًا ۖ قَالَ أَلَمْ أَقُلْ لَكُمْ إِنِّي أَعْلَمُ مِنَ اللَّهِ مَا لَا تَعْلَمُونَ)
[Surat Yusuf 96]

(فَلَمَّا أَنْ جَاءَ الْبَشِيرُ أَلْقَاهُ عَلَىٰ وَجْهِهِ فَارْتَدَّ بَصِيرًا ۖ قَالَ أَلَمْ أَقُلْ لَكُمْ إِنِّي أَعْلَمُ مِنَ اللَّهِ مَا لَا تَعْلَمُونَ)
[Surat Yusuf 96]

(قُلْ هَٰذِهِ سَبِيلِي أَدْعُو إِلَى اللَّهِ ۚ عَلَىٰ بَصِيرَةٍ أَنَا وَمَنِ اتَّبَعَنِي ۖ وَسُبْحَانَ اللَّهِ وَمَا أَنَا مِنَ الْمُشْرِكِينَ)
[Surat Yusuf 108]

(وَكَمْ أَهْلَكْنَا مِنَ الْقُرُونِ مِنْ بَعْدِ نُوحٍ ۗ وَكَفَىٰ بِرَبِّكَ بِذُنُوبِ عِبَادِهِ خَبِيرًا بَصِيرًا)
[Surat Al-Isra' 17]

(إِنَّ رَبَّكَ يَبْسُطُ الرِّزْقَ لِمَنْ يَشَاءُ وَيَقْدِرُ ۚ إِنَّهُ كَانَ بِعِبَادِهِ خَبِيرًا بَصِيرًا)
[Surat Al-Isra' 30]

(قُلْ كَفَىٰ بِاللَّهِ شَهِيدًا بَيْنِي وَبَيْنَكُمْ ۚ إِنَّهُ كَانَ بِعِبَادِهِ خَبِيرًا بَصِيرًا)
[Surat Al-Isra' 96]

(إِنَّكَ كُنْتَ بِنَا بَصِيرًا)
[Surat Ta-Ha 35]

(قَالَ رَبِّ لِمَ حَشَرْتَنِي أَعْمَىٰ وَقَدْ كُنْتُ بَصِيرًا)
[Surat Ta-Ha 125]

(ذَٰلِكَ بِأَنَّ اللَّهَ يُولِجُ اللَّيْلَ فِي النَّهَارِ وَيُولِجُ النَّهَارَ فِي اللَّيْلِ وَأَنَّ اللَّهَ سَمِيعٌ بَصِيرٌ)
[Surat Al-Hajj 61]

(اللَّهُ يَصْطَفِي مِنَ الْمَلَائِكَةِ رُسُلًا وَمِنَ النَّاسِ ۚ إِنَّ اللَّهَ سَمِيعٌ بَصِيرٌ)
[Surat Al-Hajj 75]

(وَمَا أَرْسَلْنَا قَبْلَكَ مِنَ الْمُرْسَلِينَ إِلَّا إِنَّهُمْ لَيَأْكُلُونَ الطَّعَامَ وَيَمْشُونَ فِي الْأَسْوَاقِ ۗ وَجَعَلْنَا بَعْضَكُمْ لِبَعْضٍ فِتْنَةً أَتَصْبِرُونَ ۗ وَكَانَ رَبُّكَ بَصِيرًا)
[Surat Al-Furqan 20]

(مَا خَلْقُكُمْ وَلَا بَعْثُكُمْ إِلَّا كَنَفْسٍ وَاحِدَةٍ ۗ إِنَّ اللَّهَ سَمِيعٌ بَصِيرٌ)
[Surat Luqman 28]

(يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اذْكُرُوا نِعْمَةَ اللَّهِ عَلَيْكُمْ إِذْ جَاءَتْكُمْ جُنُودٌ فَأَرْسَلْنَا عَلَيْهِمْ رِيحًا وَجُنُودًا لَمْ تَرَوْهَا ۚ وَكَانَ اللَّهُ بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرًا)
[Surat Al-Ahzab 9]

(أَنِ اعْمَلْ سَابِغَاتٍ وَقَدِّرْ فِي السَّرْدِ ۖ وَاعْمَلُوا صَالِحًا ۖ إِنِّي بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرٌ)
[Surat Saba' 11]

(أَنِ اعْمَلْ سَابِغَاتٍ وَقَدِّرْ فِي السَّرْدِ ۖ وَاعْمَلُوا صَالِحًا ۖ إِنِّي بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرٌ)
[Surat Saba' 11]

(وَالَّذِي أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ مِنَ الْكِتَابِ هُوَ الْحَقُّ مُصَدِّقًا لِمَا بَيْنَ يَدَيْهِ ۗ إِنَّ اللَّهَ بِعِبَادِهِ لَخَبِيرٌ بَصِيرٌ)
[Surat Fatir 31]
(وَلَوْ يُؤَاخِذُ اللَّهُ النَّاسَ بِمَا كَسَبُوا مَا تَرَكَ عَلَىٰ ظَهْرِهَا مِنْ دَابَّةٍ وَلَٰكِنْ يُؤَخِّرُهُمْ إِلَىٰ أَجَلٍ مُسَمًّى ۖ فَإِذَا جَاءَ أَجَلُهُمْ فَإِنَّ اللَّهَ كَانَ بِعِبَادِهِ بَصِيرًا)
[Surat Fatir 45]

(فَسَتَذْكُرُونَ مَا أَقُولُ لَكُمْ ۚ وَأُفَوِّضُ أَمْرِي إِلَى اللَّهِ ۚ إِنَّ اللَّهَ بَصِيرٌ بِالْعِبَادِ)
[Surat Ghafir 44]

(إِنَّ الَّذِينَ يُلْحِدُونَ فِي آيَاتِنَا لَا يَخْفَوْنَ عَلَيْنَا ۗ أَفَمَنْ يُلْقَىٰ فِي النَّارِ خَيْرٌ أَمْ مَنْ يَأْتِي آمِنًا يَوْمَ الْقِيَامَةِ ۚ اعْمَلُوا مَا شِئْتُمْ ۖ إِنَّهُ بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرٌ)
[Surat Fussilat 40]

(وَلَوْ بَسَطَ اللَّهُ الرِّزْقَ لِعِبَادِهِ لَبَغَوْا فِي الْأَرْضِ وَلَٰكِنْ يُنَزِّلُ بِقَدَرٍ مَا يَشَاءُ ۚ إِنَّهُ بِعِبَادِهِ خَبِيرٌ بَصِيرٌ)
[Surat Ash-Shura 27]

(وَهُوَ الَّذِي كَفَّ أَيْدِيَهُمْ عَنْكُمْ وَأَيْدِيَكُمْ عَنْهُمْ بِبَطْنِ مَكَّةَ مِنْ بَعْدِ أَنْ أَظْفَرَكُمْ عَلَيْهِمْ ۚ وَكَانَ اللَّهُ بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرًا)
[Surat Al-Fath 24]

(إِنَّ اللَّهَ يَعْلَمُ غَيْبَ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۚ وَاللَّهُ بَصِيرٌ بِمَا تَعْمَلُونَ)
[Surat Al-Hujurat 18]

(هُوَ الَّذِي خَلَقَ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ فِي سِتَّةِ أَيَّامٍ ثُمَّ اسْتَوَىٰ عَلَى الْعَرْشِ ۚ يَعْلَمُ مَا يَلِجُ فِي الْأَرْضِ وَمَا يَخْرُجُ مِنْهَا وَمَا يَنْزِلُ مِنَ السَّمَاءِ وَمَا يَعْرُجُ فِيهَا ۖ وَهُوَ مَعَكُمْ أَيْنَ مَا كُنْتُمْ ۚ وَاللَّهُ بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرٌ)
[Surat Al-Hadid 4]

(بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ قَدْ سَمِعَ اللَّهُ قَوْلَ الَّتِي تُجَادِلُكَ فِي زَوْجِهَا وَتَشْتَكِي إِلَى اللَّهِ وَاللَّهُ يَسْمَعُ تَحَاوُرَكُمَا ۚ إِنَّ اللَّهَ سَمِيعٌ بَصِيرٌ)
[Surat Al-Mujadila 1]

(لَنْ تَنْفَعَكُمْ أَرْحَامُكُمْ وَلَا أَوْلَادُكُمْ ۚ يَوْمَ الْقِيَامَةِ يَفْصِلُ بَيْنَكُمْ ۚ وَاللَّهُ بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرٌ)
[Surat Al-Mumtahana 3]

(هُوَ الَّذِي خَلَقَكُمْ فَمِنْكُمْ كَافِرٌ وَمِنْكُمْ مُؤْمِنٌ ۚ وَاللَّهُ بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرٌ)
[Surat At-Taghabun 2]

(أَوَلَمْ يَرَوْا إِلَى الطَّيْرِ فَوْقَهُمْ صَافَّاتٍ وَيَقْبِضْنَ ۚ مَا يُمْسِكُهُنَّ إِلَّا الرَّحْمَٰنُ ۚ إِنَّهُ بِكُلِّ شَيْءٍ بَصِيرٌ)
[Surat Al-Mulk 19]

(أَوَلَمْ يَرَوْا إِلَى الطَّيْرِ فَوْقَهُمْ صَافَّاتٍ وَيَقْبِضْنَ ۚ مَا يُمْسِكُهُنَّ إِلَّا الرَّحْمَٰنُ ۚ إِنَّهُ بِكُلِّ شَيْءٍ بَصِيرٌ)
[Surat Al-Mulk 19]

(بَلِ الْإِنْسَانُ عَلَىٰ نَفْسِهِ بَصِيرَةٌ)
[Surat Al-Qiyamah 14]

(إِنَّا خَلَقْنَا الْإِنْسَانَ مِنْ نُطْفَةٍ أَمْشَاجٍ نَبْتَلِيهِ فَجَعَلْنَاهُ سَمِيعًا بَصِيرًا)
[Surat Al-Insan 2]

(وَاللَّيْلِ وَمَا وَسَقَ)
[Surat Al-Inshiqaq 17]

(بَلَىٰ إِنَّ رَبَّهُ كَانَ بِهِ بَصِيرًا)
[Surat Al-Inshiqaq 15]

TATIZO LA MINYOO.


1. Chemsha Qusti kunywa.

2. Asali glasi moja na habasoda ya unga kijiko1  na thaumu kijiko1 changanya. kula vijiko 3x3.

Au
3 tumia kitunguu thaumu.
KITUNGUU SWAUMU NI DAWA YA MARADHI ZAIDI YA 30

HARUFU ICHOMAYO.
Ili kuepukana na harufu ya kitunguu swaumu baada
ya kukila kula tofaa au tafuna majani mabichi ya
naanaa, au kunywa maji yaliyotokosewa karafuu. Kitunguu swaumu kitapoteza nguvu ya tiba
iwapo kitapikwa na kila kinapowekwa muda mrefu
ndipo nguvu zake huongezeka (baada ya majani
yake kukauka kabisa).
Kitunguu swaumu kimekusanya protin 49%,sulphur
25%,kiasi fulani cha chumvi,
Homoni zitoazo nguvu
za kiume,viuaji sumu, vikojozavyo, vitoavyo
safura, vinavyoteremsha hedhi, vimeng'enyo vyenye
kuyeyusha mafuta na viini vyenye kuua minyoo.
Kila utafiti unapoendelea ndipo faida na maajabu ya
kitunguu swaumu yanapoongezeka.

www.pilingu.blogspot.com

BAADHI YA MARADHI YANAYOTIBIWA NA
KITUNGUU SWAUMU;

1.Kiua sumu
2.Kisafisha tumbo
3.Kiyeyusha mafuta(cholestro)
4.Huzuia mvilio wa damu
5.Kusafisha njia ya mkojo
6.Kutibu amoeba
7.Kuzuia kuhara damu(Dysentery)
8.Tumbo kushindwa kumeng'enya(Indigestion)
9.Gesi
10.Msokoto wa tumbo
11.Typhoid
12.Kidonda kilichooza
13.Dondakoo
14.Mabaka
15.Baridi yabisi(Rheumatisim)
16.Mishipa
17.Uziwi
18.Virusi vya homa ya mafua(Influenza)
19.Mafua
20.Saratani(Cancer)
21.Kifaduro
22.Kifua kikuu cha mapafu
23.Kipindupindu
24.Kutoa minyoo
25.Upele
26.Kuvunjavunja mawe katika figo
27.Mba kichwani
28.Kuupa nguvu ubongo
29.Kuupa nguvu fizi
30.Kuzuia meno kung'ooka
31.Nguvu za kiume
32.Maumivu ya kichwa
33.Kizunguzungu/kisunzi
34.Kutuliza maumivu ya meno
35.Kujenga misuli na kutia nguvu
36.Mkakamo wa ateri(Arteriosclerosis)
37.Shinikizo la damu
38.Kinga ya tauni na ukimwi
39.Magonjwa ya macho

MATUMIZI NA MAANDALIZI KATIKA KUTIBU

Matumizi na maandalizi ya kitunguu swaumu.
Namna nzuri ni kukisaga kitunguu kikombe 1 kwenye Maji lita 1. Kunywa kikombe 1 cha kahawa x3 kila siku.

Kikipikwa
kinapoteza nguvu ya tiba kutegemeana na tiba
unayokusudia.
Kumbuka pia kwamba kitunguu swaumu huweza
kuchanganywa na vitu vingine
mfano;maziwa,asali,habatsouda,juisi,shayiri.nk.

15. KUFUNGUWA MAZIWA ILI YATOKE.

1. Changanya asali lita 1 na habasoda ya unga kijiko1  na ya  mafuta kijiko 1
Kunywa vijiko 2 kutwa x3

Au
2. Chemsha hulba ya Unga kijiko1 maji lita 1 pilipili nyeupe kijiko1.
kunywa kikombe 1x3 kwa siku 7.

1-TIBA YA NGOZI

Tiba.
1. Mafuta ya habasoda changanya na mafuta ya waridi na ngano nyukundu- vyote ujazo sawa ila ngano izidi kasha upake kutwa X2 au soma 1:1 au 57:4

KUUNGUA MOTO
1. Ngozi iliyoteketea kwa moto paka asali iliyo changanywa na ute wa yai.

FANGASI
1. Kibiritu azraqu na aswfaru na maziwa ya cowball na mafuta paka kutwa X2

Changanya sufa na asali na unywe kijiko 1X3

 Soma dawa namba 9

Changanya mafuta ya H.soda na mafuta ya wardi na ngano nyekundu. Vyote ujazo sawa ila ngano iweX2 paka kutwa X2

NGOZI ILIYOTEKETEA KWA MOTO

Changanya asali na ute wa yai kasha paka.

Changanya maziwa ya Cowbell na Kibritu aswataru na mafuta yoyote. Paka X2

FANGASI BAINA YA MAPAJA

Paka mafuta ya H.saoda kabla ya kulala. Siku 7

Majani ya Mrehani sugua kichwani pia hutunza nywele kung’oka na na kuzifanya ziwe nyeusi

Changanya mafuta ya Habasoda na mafuta ya Zaituni paka pale palipo athirika

Changanya kwa ujazo sawa mafuta ya Habasoda Mafuta ya Mdarasini, mafuta ya Ndimu na Mafuta ya Kitunguu Thaumu.
Chemsha kisha paka kutwa x2.