HEKIMA YA KULETWA MITUME.

MwenyeziMungu anasema:- "Bila shaka tumempeleka Mtume katika kila umma (awaambie) ya kwamba "Mwabuduni MwenyeziMungu na muepukeni (Iblis) muovu". (An - Nahl -36)

MAISHA YA BARZAKH (BAADA YA KUFA)

MwenyeziMungu anasema: "Hapana! Hakika hili ni neno tu analolisema yeye (aliye mwovu anapofikiwa na mauti) na mbele yao kuna maisha ya baada ya kufa (ya taabu kwa wabaya na ya raha kwa wazuri) mpaka siku watakapofufuliwa!". (Al - Muminun - 100)

VITISHO VYA SIKU YA KIAMA

Na katika kauli Yake:- "(Wakumbusheni) Litakapotokea tokeo (hilo la Kiama). Ambalo kutokea kwake si uwongo. Lifedheheshalo (wabaya). Litukuzalo (wazuri). Ardhi itakapotetemeshwa mtetemeko mkubwa. Na milima itakaposagwa sagwa. Iwe mavumbi yanayopeperushwa". (Al - Waqiah - 1 - 6)

KUMTII MWENYEZIMUNGU NA KUMTII MTUME WAKE(SAW)

MwenyeziMungu anasema:- "Na wenye kumtii MwenyeziMungu na Mtume, basi hao watakuwa pamoja na wale aliowaneemesha MwenyeziMungu; Manabii na Masidiki na Mashahidi na Masalih (watu wema). Na uzuri ulioje (kwa mtu) watu hao kuwa rafiki (zake).” (An - Nisaa -69)

KUTOKA KATIKA DINI -"KUR-TADI"

MwenyeziMungu anasema:- "Wala hawataacha kupigana nanyi, mpaka wakutoeni katika dini yenu, kama wakiweza. Na watakaotoka dini yao katika nyinyi, kisha wakafa hali ya kuwa makafiri, basi hao ndio ambao amali zao zimeharibika katika dunia na akhera. Nao ndio watu wa Motoni. Humo watakaa milele." (Al - Baqarah -217).

KUTIBU HEDHI ISIYOKATIKA (Nazifu) , AU KIKOJOZI.


Nazifu ni tatizo la Mwanamke kutokwa na Damu mfululizo au kidogo kidogo ambayo ni tofauti na Hedhi ya kawaida.

Somea Maji aya hii mara 21
Surah Hud 44 
mpaka kwenye neno waqudhwiyal amru

وَقِیلَ یَـٰۤأَرۡضُ ٱبۡلَعِی مَاۤءَكِ وَیَـٰسَمَاۤءُ أَقۡلِعِی وَغِیضَ ٱلۡمَاۤءُ وَقُضِیَ ٱلۡأَمۡرُ ....

mpe anywe siku 21 kutwa x3
Damu au Mikojo itakatika biidhnillaahi.
Kama una tatizo hili na unahitaji Maji ya Dua nipigie au nitafute WhatsApp +255713494945
Naweza kukutumia popote ulipo.

PUMU NA TIBA YAKE.

Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa ambao huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenye mapafu ya binadamu zinazojulikana kitaalamu kama bronchioles. 
Mtu mwenye pumu huwa na mcharuko mwili sugu (chronic Inflammation) kwenye mirija yake ya kupitishia hewa (bronchioles tubes) hali ambayo husababisha kuvimba kwa kuta za mirija hii, kujaa kwa ute mzito (mucus) na kupungua kwa njia ya kupitishia hewa, hali ambayo humfanya muathirika kushindwa kuvuta na kutoa hewa nje vizuri.
 Hivyo kupumua kwa shida sana. Hali hii inaweza kudumu kwa muda mfupi au mrefu kiasi cha kuhitaji tiba ili kumuwezesha mgonjwa kupata nafuu.
Ukitaka matibabu ya Pumu kikamilifu njoo Mbagala Daressalaam
Au tupigie kwenye+255713494945
#Asthma #medication
#Médicaments #contre #l'asthme #Pumu

HIJAMA NI NINI?

Faida za Kuumika/Chuku/HIJAMA

Kitendo cha kuumika ni sunna ya Mtume Muhammadi ( ﷺ ) na imepokewa mara nyingi sana katika hadith zilizo sahihi. Kuumika ni kitendo kilichohimizwa na kutiliwa mkazo katika mapokezi mengi. Kuumika ni sehemu ya mfumo unaokamilisha Tiba ya kiutume ya Kiislamu.
Kuumika kulikuwa zoezi la kawaida la Mtume Muhammad ( ﷺ ) na Maswahaba zake kwa kutibu maradhi na magonjwa mengi na hata kuukinga mwili na kuboresha afya.

Maana Yake
Hijama au kuumika ni salama, isiyokuwa na madhara na njia isiyogharimu katika kutibu na kuzuia maradhi. Ijapokuwa matumizi ya Wachina katika mfumo huu matibabu yao yameengemezwa katika sehemu chache kama matatizo ya mapafu, mafua, kutibu maradhi ya viungo vya ndani, maumivu ya viungo, nk. Uwezo wa kuumika au hijama na faida zake ni kubwa zaidi kuliko mapungufu au hasara zake.
Neno Hijama linamaanisha ‘kutoa’ kwa Kiarabu. Kwa sasa inatambulika kama njia mbadala ya tiba ya kutibu maradhi mbali mbali na magonjwa mengine katika mwili. 
Matibabu ya kisayansi ya sasa pia yanakubaliana na faida mbali mbali za hijama au kuumika na hata kupendekeza matumizi yake katika maradhi mbali mbali.
Katika taratibu hizi ambazo si za kiupasuaji, sumu au damu chafu hutolewa kutoka katika mwili. Baadhi sehemu za hijama au kuumika katika mwili hutumika Katika sehemu hizo zilizochaguliwa, damu husababishwa kuwa katika sehemu hiyo alafu hunyonywa na kwa kutumia mfumo wa bomba, chupa au chombo kisichokuwa na chochote ndani yake. 

Faida Zake
Kuumika ni mbinu za kale za kutoa damu chafu ambayo ilikuwa ikitumika katika nchi nyingi katika kutibu baadhi ya Maradhi au magonjwa mengine ya mwili. Wakati Wachina wanaonekana kwamba wanaongoza katika matumizi ya mbinu za kutoa damu chafu kwa kutibu maradhi mbali mbali, Waarabu wamerithi kama sunna iliyokokotezwa na Mtume Muhammad ( ﷺ ) .WAzungu nao walikuwa wanafanya hijama au kuumika katika kutibu baadhi ya maradhi. Tofauti iliyopo baina ya Waarabu au Waislamu na wengine katika kuumika au hijama ni kwamba ilifanyika kwa wazi na Waumini walipendezwa nayo sana kama ni sunna ya Mtume Muhammad ( ﷺ ) (bila ya kuuliza chochote) na wengine wanaifanya kama faida ya kimatibabu.

Faida ya kwanza kabisa na inayoongoza ya kuumika au hijama kwa muumin ni faida atakayoipata hapa duniani na kesho akhera, baada ya kufuata sunna iliyokokotezwa ya Mtume Muhammad ( ﷺ ). Si waumini peke yao ila kila mtu anakaribishwa kuchunguza au kupata uzoefu juu ya faida walizotunikiwa waumini kwa kufuata amri za Mwenyezi Mungu na Mtume wake ( ﷺ ) kwa upande mwingine, tunapoaangalia mbinu hizi za kutoa damu chafu kwa mtazamo wa kidunia tunagundua kwamba kuumika au hijama ina faida nyingi sana.

Inafahamika kwamba kuumika au hijama inasaidia kuongeza nguvu katika damu. Inaondoa sumu na uchafu katika damu.Inaharakisha uponyaji wa haraka na watu hupona maradhi haraka baada ya kuumika au hijama. Kuumika au Hijama inafahamika kwa kuzuia maradhi na kwa hiyo inaweza kusadikika kama inaongoza katika ukingaji wa maradhi mengi. Zaidi ya hayo, pia ianfahamika kwamba kuumika au hijama inaweza kuwasaidia wale watu ambao wamekumbwa na uchawi au wamepatwa na Jini.

Kuumika au hijama haina madhara kama itatekelezwa vizuri. Ni vizuri ukafahamu kwamba asilimia 70 ya maradhi au magonjwa yoyotehutokana kushindwa kwa damu kuzunguka vizuri katika mwili. Ziadi ya hilo huwa tuna kuwa wagonjwa au viungo vyetu kushindwa kufanya kazi wakati damu yetu inayozunguka mwilini imeajaa sumu na uchafu mwingine. Bila ya kuondoa sumu katika miili yetu au kutoka kwenye damu, si tu kwamba hatutapona haraaka kutokana na maradhi yanayotusumbua ila pia tunakaribisha maradhi mengine au magonjwa. Kuumika au hijama ndiyo njia sahihi ya kuondoa sumu kutoka mishipa ya damu, na matokeo yake bila ya shaka yatakusababishia kuwa na afya nzuri na mwili unaofanya kazi vizuri. Tusisahau kwamba njia hii nzuri na yenye kusaidia imependekezwa na sunna ya Mtume Muhammad ( ﷺ ) inatusaidia kujikingana maradhi mengi na maambukizi kama shinikizo la damu, magonjwa yanayotokana na mzunguko wa damu, maumivu, ugumba na utasa, kansa nk 

Umuhimu wa Kuumika au Hijama kutokana na muongozo wa Wahyi.
Kuliko kuweka maneno zaidi katika kutaja sifa na ubora wa kuumika, ni vizuri tukaziangalia hadith zifuatazo ambazo zinatosheleza kuelezea faida na umuhimu wa Kuumika au Hijama.
“Kwa kweli kwenye Kuumika au hijama kuna dawa.” – Sahihi Muslim
“kwa kweli, tiba ilyo bora mliyonayo ni kuumika au hijama.” – Sahihi Bukhari
“Kuumika ni njia bora zaidi kwa wanadamu katika kujitibu.” ”.– Sahihi Bukhari na Sahihi Muslim
Umuhimu wa Kuumika katika muongozo wa kiroho unaweza kusisitizwa kwa maneno yafuatayo ambayo aliambiwa Mtume Muhammad ( ﷺ ) katika usiku wa Israa na malaika: “Ewe Muhammad, waamrisha umma wako kuhusu kuumika.” – Sahihi Muslim, Sunan Tirmidh

Mtume Muhammad ( ﷺ ) inasemakana alihumikwa katika kichwa chake kutokana na kuumwa kipandauso (Bukhari), katika kidole chake cha mguu kutokana na kutenguka (Ibn Majah) katika shingo yake (Abu Daud), katika nyonga kutokana na maumivu ya nyonga (Abu Daud) na mabega kwa ajili ya kutoa sumu (Ahmed).

Abdullah ibn Abbas (Mwenyezi Mungu awe radhi nae) amesimulia kwamba Mtume ( ﷺ ) amesema: “sikumpita malaika yoyote katika safari yangu ya usiku isipokuwa aliniambia: kilicho bora ni Kuumika, Ewe Muhammad.” (Sahihi Bukhari, Sunan Ibn Majah)

“Dawa iliyobora ambayo unaweza kujitibia ni kuumika, au ni miongoni mwa dawa bora kabisa au Dawa unaweza kuitumia ni kuumika.”(Sahihi Bukhari:5371) 

“Kuumika ni taratibu iliyo namanufaa zaidi kwa wanadamu kwa ajili ya kujitibu.” (Sahihi Bukharin a Muslim)
#)Pilingu #RUQYA #HIJAMA SIYO #PIRINGU

Abu Huraira (Mwenyezi Mungu awe radhi nae) amesimulia kwamba Mjumbe wa Mwenyezi Mungu ( ﷺ ) amesema:”Kama kungekuwa na kitu bora kinachoweza kutumika kama dawa basi ni kuumika.” *Sunan Abu Dawud, Sunan Ibn Majah)
Gusa maandishi haya ili kutazama video ya Hijama.
©
Sheikh Pilingu 
Ruqya & Hijama Center 
Mbagala Charambe Daressalaam 
+255713494945

What is HIJAMA, What is Cupping

Benefits of / Chuku / HIJAMA

 The act of Hijama is the sunnah of the Prophet Muhammad (ﷺ) and has been received many times in authentic hadiths.  Hijama is an act that is encouraged and emphasized in many receptions.  Hijama is part of the system that completes Islamic Apostolic Medicine.
 Hijama was a common practice of the Prophet Muhammad (ﷺ) and his Companions to treat many ailments and diseases and even to protect the body and improve health.

 Meaning
 Hijama is a safe, harmless and cost-effective way to treat and prevent disease.  Although the use of Chinese in this system their treatment has been limited to a number of areas such as lung problems, influenza, internal organ disease, joint pain, etc.  The potential of Hijama and its benefits are far greater than its limitations or disadvantages.
 The word Hijama means ‘giving’ in Arabic.  It is currently recognized as an alternative to treating various ailments and diseases in the body.
 Current scientific treatments also agree with the various benefits of hijama and even recommend its use in various ailments.
 In these non-surgical procedures, toxins or dirty blood are removed from the body.  Some parts of the hijama in the body are used In those selected areas, blood is drawn into that area and then absorbed and by means of a tube, bottle or container with nothing in it.

 Its Benefits
 Hijama is an ancient method of donating dirty blood that was used in many lands to treat certain ailments or other ailments of the body.  While the Chinese appear to be leading the way in the use of blood transfusion techniques to treat various ailments, the Arabs have inherited it as a sunnah distorted by the Prophet Muhammad (ﷺ).  The difference between the Arabs or the Muslims and the others is that the pilgrimage was performed openly and the Believers were very interested in it as the sunnah of the Prophet Muhammad (ﷺ) (without question) and some view it as a medical benefit.

 The first and foremost benefit of pilgrimage for a believer is the benefit he will receive in this world and in the hereafter, after following the perverted sunnah of the Prophet Muhammad (ﷺ).  Not only believers but everyone is welcome to explore or experience the benefits bestowed on believers by following the commands of Allah and His Messenger (ﷺ) on the other hand, when we look at these methods of donating dirty blood from a secular point of view we realize that hijab has many benefits  very.

 It is well known that hijama helps increase energy in the blood.  It removes toxins and impurities from the bloodstream.  Hijama is known for preventing disease and can therefore be credited with leading to the prevention of many diseases.  Furthermore, it is also known that the hijama can help those people who have been possessed by magic or possessed by a Jinn.

  hijama is harmless if it is properly implemented.  It is good to know that 70% of any illnesses or illnesses are caused by the failure of the blood to circulate properly in the body.  In addition we often become ill or our organs fail to function when our circulating blood is full of toxins and other impurities.  Without removing toxins from our bodies or from the blood, not only will we not recover quickly from the ailments that afflict us but we will also welcome other illnesses or diseases.  hijama is the best way to remove toxins from the blood vessels, and the results will no doubt make you healthier and more active.  Let us not forget that this good and helpful method recommended by the sunnah of the Prophet Muhammad (ﷺ) helps us to protect ourselves from many diseases and infections such as high blood pressure, circulatory disorders, pain, infertility and infertility, cancer etc.

 The Importance of the Hijama due to the guidance of Revelation.
 Rather than placing more words on the merits and demerits of the Hijama it is better to look at the following hadiths which are sufficient to explain the benefits and significance of the Hijama.
 "Of course in the hijama there is medicine."  - Sahihi Muslim
 "In fact, the best treatment you can have is hijama."  - Sahihi Bukhari
 "Hijama is the best way for human beings to heal themselves."  ”.– Sahih Bukhari and Sahih Muslim
 The importance of Hijama in spiritual guidance can be emphasized by the following words spoken to the Prophet Muhammad (ﷺ) on the night of Israa by the angels: "O Muhammad, command your ummah about Hijama."  - Sahihi Muslim, Sunan Tirmidh

 Prophet Muhammad (ﷺ) is said to have suffered a severe head injury (Bukhari), in the toe of his ankle (Ibn Majah) in his neck (Abu Daud), in the hip due to hip pain (Abu Daud) and  shoulders for detoxification (Ahmed).

 Abdullah ibn Abbas (may Allah be pleased with him) narrated that the Prophet (ﷺ) said: "I did not pass any angel on my nightly journey unless he told me: the best is Hijama, O Muhammad."  (Sahih Bukhari, Sunan Ibn Majah)

 "The best medicine you can treat yourself is Hijama, or it is one of the best medicine or medicine you can use is Hijama." (Sahih Bukhari: 5371)

 "Hijama is the most beneficial procedure for human beings for self-healing."  (Sahih Bukharin a Muslim)

 Abu Huraira (may Allah be pleased with him) narrated that the Messenger of Allah (ﷺ) said: "If there was something better that could be used as medicine then it is Hijama."  * Sunan Abu
 Dawud, Sunan Ibn Majah)
 #HIJAMA is #Cupping or #Kuumika

 ©
 Sheikh Pilingu
 Ruqya & Hijama Center
 Mbagala Charambe Daressalaam
 +255713494945

JIPATIE MAFUTA YA NAZI

MAFUTA YA FIRDAUSI.

Hakikisha unapata mafuta ya nazi ambayo ni ya asili kwa asilimia 100, ikiwa utanunua dukani kuna uwezekano mkubwa yakawa yamechanganywa na kemikali zingine au haidrogeni kitu kinachoyapunguzia thamani ile ya asili. 
Tupigie tukupa tupatie Na Mafuta ya nazi kwa bei nafuu.
+255713494945
Chupa ya ml 100 sh 2000
Lita 1 ml 1,000 sh 18,000
lita 5 sh elfu 60,000