HEKIMA YA KULETWA MITUME.

MwenyeziMungu anasema:- "Bila shaka tumempeleka Mtume katika kila umma (awaambie) ya kwamba "Mwabuduni MwenyeziMungu na muepukeni (Iblis) muovu". (An - Nahl -36)

MAISHA YA BARZAKH (BAADA YA KUFA)

MwenyeziMungu anasema: "Hapana! Hakika hili ni neno tu analolisema yeye (aliye mwovu anapofikiwa na mauti) na mbele yao kuna maisha ya baada ya kufa (ya taabu kwa wabaya na ya raha kwa wazuri) mpaka siku watakapofufuliwa!". (Al - Muminun - 100)

VITISHO VYA SIKU YA KIAMA

Na katika kauli Yake:- "(Wakumbusheni) Litakapotokea tokeo (hilo la Kiama). Ambalo kutokea kwake si uwongo. Lifedheheshalo (wabaya). Litukuzalo (wazuri). Ardhi itakapotetemeshwa mtetemeko mkubwa. Na milima itakaposagwa sagwa. Iwe mavumbi yanayopeperushwa". (Al - Waqiah - 1 - 6)

KUMTII MWENYEZIMUNGU NA KUMTII MTUME WAKE(SAW)

MwenyeziMungu anasema:- "Na wenye kumtii MwenyeziMungu na Mtume, basi hao watakuwa pamoja na wale aliowaneemesha MwenyeziMungu; Manabii na Masidiki na Mashahidi na Masalih (watu wema). Na uzuri ulioje (kwa mtu) watu hao kuwa rafiki (zake).” (An - Nisaa -69)

KUTOKA KATIKA DINI -"KUR-TADI"

MwenyeziMungu anasema:- "Wala hawataacha kupigana nanyi, mpaka wakutoeni katika dini yenu, kama wakiweza. Na watakaotoka dini yao katika nyinyi, kisha wakafa hali ya kuwa makafiri, basi hao ndio ambao amali zao zimeharibika katika dunia na akhera. Nao ndio watu wa Motoni. Humo watakaa milele." (Al - Baqarah -217).

DAWA YA KIBAMIA























Kila ugonjwa unayo Dawa yake. RESPECT ndiyo suluhisho. Ni Dawa ya asili inaweza kuvunja ukimya na kurudisha heshima. haina madhara.
Kuwa na nguvu nyingi bila heshima haitoshi.
Kama heshima ni ndogo tumia Dawa hii Respect biidhni llaahi kuanzia wiki ya pili heshima itakuwa umeanza kuongezeka.
Usikubali kuitwa KIBAMIA.
Dawa ipo bei ni nafuu.
Ukiitaja Utaletewa popote ulipo.
Piga +255713494945
RASHID PILINGU.


FAIDA ZA HULBA(Uwatu).


Hulba
ni moja ya mimea yenye faida zaidi kwa afya ya mwili na matibabu ya magonjwa mengi, na pia ni muhimu katika kutengeneza mapishi mengi ya matibabu na mapambo na kuyaingiza katika pipi na vinywaji vingi.

kula Hulba kwenye maji ya moto au au uji, au asali, au kwa njia zingine, inasaidia mama mjamzito, haswa katika kwa tatizo la kupitisha ada ya mwezi.
Pia inakuwezesha mchakato wa kuzaa na kulainisha kizazi uterasi.

_ Hulba inawanufaisha wale walio na upungufu wa spams

_ Hulba ni dawa ya kuponya magonjwa mengi na kuimarisha mifumo na viungo vingi vya mwili.

_ Hulba husaidia wagonjwa wa kisukari katika mchakato wa kupunguza viwango vya juu vya sukari katika miili yao.

_ Hulba inafanya kazi ya kumtibu mtu aliye na cholesterol nyingi mwilini mwake.

_ Fenugreek pia inafanya kazi kupunguza uzito wa wanene, kwani huchoma mafuta yaliyokusanywa katika miili yao.

_ Hulba hutibu mtu ambaye anahara.

_ Kuna watu wengi wanaougua ugonjwa wa dysuria, kwa hivyo wanapaswa kuchemsha Hulba tu na kuila.
_ Hulba pia hutibu maambukizo ya magonjwa ya tumbo.

_ Hulba ni muhimu katik kutibu kikohozi kali na kikavu pia.
_ Hulba anawatibu wale wanaougua upungufu wa nguvu.

_ Hulba pia hutibu bawasiri, Pumu kwa wakubwa na Watoto.
Tezi dume, kibofu, U. T. I.
Ikipakwa kichwani hukuza nywele, uzuia kukatika. N.
+25571673494945


FAIDA ZA MAJI YA MAJANI YA MKUNAZI























FAIDA YA MAJI YA MAJANI YA MKUNAZI.

Kwa wale wote wanaosumbuliwa na maradhi ya kichawi. Yani magonjwa yanayotokana na uchawi.
Au wanaosumbuliwa na wachawi kwenye nyumba, Shamba au biashara (yani chuma ulete)
Ufumbuzi umepatikana.
Tumia majani ya MKUNAZI
Ndiyo kitu pekee rahisi kinachoweza kuzima uchawi biidhni llaahi.
Unga utakula na kuoga.
Maji ya Mkunazi utakunywa au kuogea, au kunyunyiza au kujipulizia kama PAFYUMU. 
Ukihitaji Maji ya Mkunazi, au unga wa Mkunazi nipigie au nitafute Whatsapp
Naweza kukutumia popote ulipo kwa gharama nafuu.
Gusa hapa Utazame video ya maji ya mkunazi
#Mkunazi #Sihiri
Fika Mbagala Charambe
Muone Dr Rashidi Pilingu
ujipatie unga au maji ya mkunazi kwa bei nafuu.
+255713494945