DAWA YA NGOZI. (Mba, upele, Chunusi, Fangasi, Miwasho, Malengelenge, Mapunye, Utangotango n.k.


1. Mafuta ya habasoda changanya na mafuta ya waridi na ngano nyukundu- vyote ujazo sawa ila ngano izidi kisha upake kutwa X2 au soma 1:1 au 57:4

KUUNGUA MOTO
2. Ngozi iliyoteketea kwa moto paka asali iliyo changanywa na ute wa yai.

FANGASI
3. Kibiritu azraqu na aswfaru na maziwa ya cowball na mafuta paka kutwa X2

4.Changanya sufa na asali na unywe kijiko 1X3

5.Soma dawa namba 9

6.Changanya mafuta ya H.soda na mafuta ya wardi na ngano nyekundu. Vyote ujazo sawa ila ngano iweX2 paka kutwa X2

NGOZI ILIYOTEKETEA KWA MOTO

7.Changanya asali na ute wa yai kasha paka.

8.Changanya maziwa ya Cowbell na Kibritu aswataru na mafuta yoyote. Paka X2

FANGASI BAINA YA MAPAJA
9.Paka mafuta ya H.saoda kabla ya kulala. Siku 7

10.Majani ya Mrehani sugua kichwani pia hutunza nywele kung’oka na na kuzifanya ziwe nyeusi

11.Changanya mafuta ya Habasoda na mafuta ya Zaituni paka pale palipo athirika

12.Changanya kwa ujazo sawa mafuta ya Habasoda Mafuta ya Mdarasini, mafuta ya Ndimu na Mafuta ya Kitunguu Thaumu.
Chemsha kisha paka kutwa x2.