HEKIMA YA KULETWA MITUME.

MwenyeziMungu anasema:- "Bila shaka tumempeleka Mtume katika kila umma (awaambie) ya kwamba "Mwabuduni MwenyeziMungu na muepukeni (Iblis) muovu". (An - Nahl -36)

MAISHA YA BARZAKH (BAADA YA KUFA)

MwenyeziMungu anasema: "Hapana! Hakika hili ni neno tu analolisema yeye (aliye mwovu anapofikiwa na mauti) na mbele yao kuna maisha ya baada ya kufa (ya taabu kwa wabaya na ya raha kwa wazuri) mpaka siku watakapofufuliwa!". (Al - Muminun - 100)

VITISHO VYA SIKU YA KIAMA

Na katika kauli Yake:- "(Wakumbusheni) Litakapotokea tokeo (hilo la Kiama). Ambalo kutokea kwake si uwongo. Lifedheheshalo (wabaya). Litukuzalo (wazuri). Ardhi itakapotetemeshwa mtetemeko mkubwa. Na milima itakaposagwa sagwa. Iwe mavumbi yanayopeperushwa". (Al - Waqiah - 1 - 6)

KUMTII MWENYEZIMUNGU NA KUMTII MTUME WAKE(SAW)

MwenyeziMungu anasema:- "Na wenye kumtii MwenyeziMungu na Mtume, basi hao watakuwa pamoja na wale aliowaneemesha MwenyeziMungu; Manabii na Masidiki na Mashahidi na Masalih (watu wema). Na uzuri ulioje (kwa mtu) watu hao kuwa rafiki (zake).” (An - Nisaa -69)

KUTOKA KATIKA DINI -"KUR-TADI"

MwenyeziMungu anasema:- "Wala hawataacha kupigana nanyi, mpaka wakutoeni katika dini yenu, kama wakiweza. Na watakaotoka dini yao katika nyinyi, kisha wakafa hali ya kuwa makafiri, basi hao ndio ambao amali zao zimeharibika katika dunia na akhera. Nao ndio watu wa Motoni. Humo watakaa milele." (Al - Baqarah -217).

TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO (Ulcers).

1. Chemsha habasoda na bizari ya pilau katika maji kunywa kikombe cha chai kutwa x 1
Kila siku kwa miezi 3.

Au
2. Mafuta ya habasoda na habarehani katika maziwa fresh glasi 1 x 3
Kila siku kwa miezi 3.

Au
3. Asali lita1 na unga wa ganda la ndizi vijiko 3 changanya vizuri kisha kula kijiko 1 x 3
Kila siku kwa miezi 3.

Au
4. Ganda la komamanga vijiko 3 na habasoda unga kijiko vijiko 2 tia katika asali lita1 changanya vizuri kisha chota vijiko 2 tia kwenye kikombe 1 cha maziwa kunywa 1x3
Kila siku kwa miezi 3.

Au
5. Kunywa mafuta ya zaituni kijiko 1 na  mafuta ya habasoda kijiko 1 kwenye kikombe 1 cha maji ya moto 1x3 Kila siku kwa miezi 3.

6. Juisi ya karoti na mbatata
Kila siku kwa miezi 3.

www.pilingutz.ga
Au
7.Chukua maganda ya palachichi uyaanike
mpaka yakauke kisha yasage. Chukua unga huo ujazo wa vijiko3 vya chakula pamoja na vijiko 3 vya Asali kisha
tumia kulamba.vijiko 2x3
Kila siku kwa miezi 3.

Au
ASALI NA MDALASINI TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO

Tumia Asali ya nyuki,Mdalasini
na Maji ya Uvuguvugu kila siku
Asubuhi kabla ya
kula kitu na jioni kwa muda wa miezi minne

Namna ya kutengeneza Dawa
fanya hivi:
chukuwa kijiko kikubwa kimoja
cha Asali changanya na kijiko
kimoja cha unga wa
Mdalasini uweke katika Glasi 1
ya Maji ya Uvuguvugu kisha
unywe Asubuhi
kabla ya kula au kunywa kitu
chochote kile na ukae kwa
muda wa saa moja
kupita ndio waweza kula.
Na wakati wa usiku fanya hivyo hivyo kunywa tena
mchanganyiko huo wa Asali na
Unga wa Mdalasini dumisha
hivyo Kila siku kwa miezi 3.
©Sheikh Pilingu Hijama &  Ruqya Center
+255713494945
www.pilingutz.ga

TIBA YA KIHARUSI (KUPOOZA)


1. Soma Ruqya

2. Unga wa Udi karaha vijiko 2, na Habasoda vijiko 2 katika asali lita 1 changanya kisha kula vijiko 2X3 kila siku.

Au
3. Changanya kijiko kimojakimoja cha Bakalhadi, manimani,habatsoda, sufa, makal-arzak, jauza, kakila, udikaraha, ubani maka,ubani dhukra,ubanimashtaka, halilinji, abilinji, tangawizi, hiliki,darufilfili, halititi,basbas jauza. Vyote view ujazo sawa ila sufa izidi changanya na asali lita 1 na siki kikombe 1. Kula kijiko kikubwa 2X3
Mgonjwa avae nguo za kumwongezea joto muda wote.

Au
4.Chemsha kila siku majani ya pakanga kikombe 1 kwenye maji lita 1.
anywe kidogo kidogo  kwa siku mpaka yaishe.

5.kisha umchue sehemu aliyopooza kwa mafuta ya nazi yaliyotiwa Halmiti na irkizamda na karafuu maiti.
1x2.

TIBA YA MARADHI YA FIGO.

1. Kula vijiko 2 vya asali iliyochanganywa na habasoda.
Utie katika glasi ya maji moto.


Au
.2. Kula zabibu kavu 21 kila asubuhi kwa mwezi.

Au
3. Asali lita 1, habasoda unga kijiko1  na thaum kikombe cha kahawa. 
kula kijiko kikubwa 2X3 na kila baada ya chakula kula limao 1.

Au
4. Habasoda kijiko1, harmal kijiko1, Jirjir kijiko1  changanya na asali lita 1.
kula vijiko 2X3 katika maziwa moto siku 7-21

Au
Chemsha ndevu za mahindi ujazo wa lita3
kilasiku kunywa lita moja kwamda wa siku3.
Kama bado utahisi bado ugonjwa upo
kunywatena kwa muda wa siku3.

Au
KUSAFISHA FIGO

Mwaka mpaka mwaka figo zetu zinachuja damu na kuondoa chumvi, sumu, na vitu visivyotakiwa mwilini. Kadiri siku zinavyokwenda chumvi hujirundika katika figo tukio ambalo ni hatarishi katika mfumo bora wa utendekazi wa figo hivyo kufanya uhitaji figo kusafishwa mara kwa mara.

NAMNA YAKUSAFISHA FIGO

Ni rahisi sana, kwanza chukua kiasi cha majani ya 'kotimiri' (parsley) au majani ya 'dhania' (coriander) kiasi cha vifungo viwili kisha yaoshe vizuri, katakata katika vipisi vikubwa kubwa kisha weka kwenye chombo ambacho utaweza kuchemshia kama vile sufuria.  Weka maji (lita moja) katika sufuria yenye majani hayo kisha chemsha kwa muda was dakika kumi, iache ipoe kisha chuja vizuri na uweke kwenye chupa kisha uiweke katika jokofu ili iweze kupoa zaidi na kupata ubaridi.

Kunywa glasi moja kila siku kama umetumia dhania na utaona  chumvi na vitu vyote vilivyorundikana kwenye figo vinatoka kwenye mkojo wakati unapojisaidia haja ndogo, pia utahisi utofauti katika mwili wako ambao hujawahi kuuhisi. Kama utatumia majani ya parsley (kotimiri)  usikunywe zaidi ya vijiko vinne vya mezani.

- Ukitumia majani ya dhania kunywa glasi moja kila siku
- Ukitumia majani ya parsley(kotimiri)  vijiko vinne vya mezani vya maji ile kila siku na usinywe kama hujakula

Kotimiri pamoja na majani ya dhania yanafahamika kwa uwezo wao bora wakusafisha figo na pia hizi zenyewe ni za asili zote. Zinatoa matokeo sawa pale zinapotumika kusafisha figo, lakini majani ya kotimiri (parsley) yanapendelewa zaidi na ni chaguo zuri kwasababu ya utofauti wake na majani ya dhania (coriander).

Utofauti uliopo Kati ya kotimiri na majani ya dhania ni kwamba; Majani ya kotimiri hayana harufu yoyote ila majani ya dhania yana harufu, pia majani ya kotimiri yanatumika sana kutengenezea saladi. Japo majani haya yanafanana sana ukiangalia kwa ukaribu na kwa makini utagundua kuwa yana utofauti.

ANGALIZO

Juisi hii ya kotimiri ina nguvu sana hivyo usiinywe bila kuwa na kitu tumboni yani ule kwanza kabla yakutumia hii juice, pia usinywe zaid ya mililita 30 yani kipimo kiasi cha vijiko vinne vikubwa vya meza kwa siku. Chukua uangalizi wa karibu wa kujitathimini kama ni mara yako ya kwanza kusafisha figo zako.

Mama mjamzito asitumie juisi hii.

Kotimiri inaaminika kuwa nakiwango kikubwa cha asidi inaitwa 'oxalic acid' hivyo kwa mtu mwenye tatizo la mawe kwa figo asitumie bila ushauri wa docta wa tiba za asili, yani kwa ufasihi mwenye vijiwe katika figo lazima aitumie kwa uangalifu wa daktari kwa ni tiba pia ya kuyayusha hizo vijiwe na kuna vipimo tafauti vitahitajika, pia usitumie na vyakula vingine vyenye madini ya calcium kwani madini ya calcium pamoja na asidi ya oxalic ikichanganyika inageuza ile dawa isiwe organic.

+255713494945 

JE UNAJUWA KIUNGULIA NI NINI?

KIUNGULIA NA TIBA YAKE. 

Kiungulia (heart burn) ni hali ya kuckia kama unaungua ndan ya koo nayo ni baada ya fluid (HCL acid) ilioko tumbon kupanda kwenye mrija wa chakula (oesophagus) hutokana na kula vyakula vya wanga kwa wingi (starch) na gesi ni hewa tu ambayo mara nyng hua inajaa tumboni huweza sababishwa na wadudu wanao act ktk chakula na kutoa gesi kama ni moja ya product zake hata helicobacta pylory anaesababisha vidonda va tumbo husababisha ges na kuhc tumbo limejaaa



HCL ktk tumbo huzalishwa na parietal cells ambazo ni moja kati ya aina kuu mbili za cell zinazo tanda ktk tezi za tumbo

Huzalishwa baada ya kuckia chakula au kufika mda wa mtu hyo wa kula, hua ni moja ya content ya gastric juic (isaidiayo ktk kumeng'enya chakula)

TIBA YAKE. 


1. Kijiko kimoja cha habasoda katika glasi moja ya maziwa kutwa x 3



2. Au chota kijiko 1 cha unga wa Shimari kula 1x4 kila siku au kila baada ya kula. 

Kisha utamalizia kwa kunywa maji ya vuguvugu. 

©

Sheikh Pilingu Hijama & Ruqya Center
+255713494945