HEKIMA YA KULETWA MITUME.

MwenyeziMungu anasema:- "Bila shaka tumempeleka Mtume katika kila umma (awaambie) ya kwamba "Mwabuduni MwenyeziMungu na muepukeni (Iblis) muovu". (An - Nahl -36)

MAISHA YA BARZAKH (BAADA YA KUFA)

MwenyeziMungu anasema: "Hapana! Hakika hili ni neno tu analolisema yeye (aliye mwovu anapofikiwa na mauti) na mbele yao kuna maisha ya baada ya kufa (ya taabu kwa wabaya na ya raha kwa wazuri) mpaka siku watakapofufuliwa!". (Al - Muminun - 100)

VITISHO VYA SIKU YA KIAMA

Na katika kauli Yake:- "(Wakumbusheni) Litakapotokea tokeo (hilo la Kiama). Ambalo kutokea kwake si uwongo. Lifedheheshalo (wabaya). Litukuzalo (wazuri). Ardhi itakapotetemeshwa mtetemeko mkubwa. Na milima itakaposagwa sagwa. Iwe mavumbi yanayopeperushwa". (Al - Waqiah - 1 - 6)

KUMTII MWENYEZIMUNGU NA KUMTII MTUME WAKE(SAW)

MwenyeziMungu anasema:- "Na wenye kumtii MwenyeziMungu na Mtume, basi hao watakuwa pamoja na wale aliowaneemesha MwenyeziMungu; Manabii na Masidiki na Mashahidi na Masalih (watu wema). Na uzuri ulioje (kwa mtu) watu hao kuwa rafiki (zake).” (An - Nisaa -69)

KUTOKA KATIKA DINI -"KUR-TADI"

MwenyeziMungu anasema:- "Wala hawataacha kupigana nanyi, mpaka wakutoeni katika dini yenu, kama wakiweza. Na watakaotoka dini yao katika nyinyi, kisha wakafa hali ya kuwa makafiri, basi hao ndio ambao amali zao zimeharibika katika dunia na akhera. Nao ndio watu wa Motoni. Humo watakaa milele." (Al - Baqarah -217).

TATIZO LA MINYOO.


1. Chemsha Qusti kunywa.

2. Asali glasi moja na habasoda ya unga kijiko1  na thaumu kijiko1 changanya. kula vijiko 3x3.

Au
3 tumia kitunguu thaumu.
KITUNGUU SWAUMU NI DAWA YA MARADHI ZAIDI YA 30

HARUFU ICHOMAYO.
Ili kuepukana na harufu ya kitunguu swaumu baada
ya kukila kula tofaa au tafuna majani mabichi ya
naanaa, au kunywa maji yaliyotokosewa karafuu. Kitunguu swaumu kitapoteza nguvu ya tiba
iwapo kitapikwa na kila kinapowekwa muda mrefu
ndipo nguvu zake huongezeka (baada ya majani
yake kukauka kabisa).
Kitunguu swaumu kimekusanya protin 49%,sulphur
25%,kiasi fulani cha chumvi,
Homoni zitoazo nguvu
za kiume,viuaji sumu, vikojozavyo, vitoavyo
safura, vinavyoteremsha hedhi, vimeng'enyo vyenye
kuyeyusha mafuta na viini vyenye kuua minyoo.
Kila utafiti unapoendelea ndipo faida na maajabu ya
kitunguu swaumu yanapoongezeka.

www.pilingu.blogspot.com

BAADHI YA MARADHI YANAYOTIBIWA NA
KITUNGUU SWAUMU;

1.Kiua sumu
2.Kisafisha tumbo
3.Kiyeyusha mafuta(cholestro)
4.Huzuia mvilio wa damu
5.Kusafisha njia ya mkojo
6.Kutibu amoeba
7.Kuzuia kuhara damu(Dysentery)
8.Tumbo kushindwa kumeng'enya(Indigestion)
9.Gesi
10.Msokoto wa tumbo
11.Typhoid
12.Kidonda kilichooza
13.Dondakoo
14.Mabaka
15.Baridi yabisi(Rheumatisim)
16.Mishipa
17.Uziwi
18.Virusi vya homa ya mafua(Influenza)
19.Mafua
20.Saratani(Cancer)
21.Kifaduro
22.Kifua kikuu cha mapafu
23.Kipindupindu
24.Kutoa minyoo
25.Upele
26.Kuvunjavunja mawe katika figo
27.Mba kichwani
28.Kuupa nguvu ubongo
29.Kuupa nguvu fizi
30.Kuzuia meno kung'ooka
31.Nguvu za kiume
32.Maumivu ya kichwa
33.Kizunguzungu/kisunzi
34.Kutuliza maumivu ya meno
35.Kujenga misuli na kutia nguvu
36.Mkakamo wa ateri(Arteriosclerosis)
37.Shinikizo la damu
38.Kinga ya tauni na ukimwi
39.Magonjwa ya macho

MATUMIZI NA MAANDALIZI KATIKA KUTIBU

Matumizi na maandalizi ya kitunguu swaumu.
Namna nzuri ni kukisaga kitunguu kikombe 1 kwenye Maji lita 1. Kunywa kikombe 1 cha kahawa x3 kila siku.

Kikipikwa
kinapoteza nguvu ya tiba kutegemeana na tiba
unayokusudia.
Kumbuka pia kwamba kitunguu swaumu huweza
kuchanganywa na vitu vingine
mfano;maziwa,asali,habatsouda,juisi,shayiri.nk.

15. KUFUNGUWA MAZIWA ILI YATOKE.

1. Changanya asali lita 1 na habasoda ya unga kijiko1  na ya  mafuta kijiko 1
Kunywa vijiko 2 kutwa x3

Au
2. Chemsha hulba ya Unga kijiko1 maji lita 1 pilipili nyeupe kijiko1.
kunywa kikombe 1x3 kwa siku 7.

1-TIBA YA NGOZI

Tiba.
1. Mafuta ya habasoda changanya na mafuta ya waridi na ngano nyukundu- vyote ujazo sawa ila ngano izidi kasha upake kutwa X2 au soma 1:1 au 57:4

KUUNGUA MOTO
1. Ngozi iliyoteketea kwa moto paka asali iliyo changanywa na ute wa yai.

FANGASI
1. Kibiritu azraqu na aswfaru na maziwa ya cowball na mafuta paka kutwa X2

Changanya sufa na asali na unywe kijiko 1X3

 Soma dawa namba 9

Changanya mafuta ya H.soda na mafuta ya wardi na ngano nyekundu. Vyote ujazo sawa ila ngano iweX2 paka kutwa X2

NGOZI ILIYOTEKETEA KWA MOTO

Changanya asali na ute wa yai kasha paka.

Changanya maziwa ya Cowbell na Kibritu aswataru na mafuta yoyote. Paka X2

FANGASI BAINA YA MAPAJA

Paka mafuta ya H.saoda kabla ya kulala. Siku 7

Majani ya Mrehani sugua kichwani pia hutunza nywele kung’oka na na kuzifanya ziwe nyeusi

Changanya mafuta ya Habasoda na mafuta ya Zaituni paka pale palipo athirika

Changanya kwa ujazo sawa mafuta ya Habasoda Mafuta ya Mdarasini, mafuta ya Ndimu na Mafuta ya Kitunguu Thaumu.
Chemsha kisha paka kutwa x2.